TTCL YALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI NCHINI – MWAKAGENDE
Na Okuly Julius Dodoma Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni muwakilishi wa wanawake mkoa wa Mbeya, Sophia Mwakagende amelipongeza shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL kwa kuifungia nchi katika eneo la Mawasiliano. Amesema maboresho makubwa yaliyoyafanywa na TTCL katika kuhudumia umma wa watanzania hasa katika ulimwengu wa…