Elon Musk aendelea kupigwa kwenye Tesla

Marekani. Marekani imeendelea kushuhudia wimbi la uharibifu wa mali za kampuni ya Tesla, ikiwa ni pamoja na magari na vituo vyake, sababu ikitajwa kuwa ni hasira dhidi ya Elon Musk ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa Tesla na mkuu wa Idara ya Ufanisi wa Serikali (Doge). Matukio haya ya hivi karibuni yamezusha taharuki miongoni mwa wamiliki…

Read More

Kilio cha wafanyakazi Mei Mosi, 2025

Dar/Mikoani. Katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi), 2025, wafanyakazi wamepaza sauti wakihitaji mishahara bora, ulinzi wa kisheria na ufuatiliaji wa haki kazini, kupambana na rushwa na kuwapo udhibiti katika sekta binafsi. Maadhimisho ya Mei Mosi kitaifa yatafanyika mkoani Singida yakiwa na kaulimbiu isemayo: ‘Uchaguzi Mkuu 2025: Utuletee viongozi wanaojali haki na masilahi ya…

Read More

Rich Panda kukupandisha kwenye mkwanja

  Najua unajiuliza unaifanyaje wiki yako kua ya kipekee sasa basi kupitia mchezo wa Kasino wa Rich Panda ambao unapatikana pale kwenye tovuti ya Meridianbet ndio suluhusiho lako, Kwani kupitia mchezo huu unaweza kua milionea mpya mjini ndani ya kipindi kifupi. Rich Panda yenyewe ipo tayari kukupandisha kwenye mkwanja na uweze kushinda donge nono kwelikweli,…

Read More

CHANGAMOTO YA USAFIRI WATUMISHI WIZARA YA ARDHI KUPUNGUA

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Seushi Mbuli akikabidhiwa nyaraka za umiliki wa basi aina ya TATA kutoka kwa Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya TATA Africa Holdings (Tanzania) Limited Bi. Muareen Kiputa leo tarehe 19 Sept 2024. Katikati ni Mkurugenzi Msaidizi Utawala Bw. Simbani Liganga…

Read More

Changamoto na mchango wa wanawake vijijni katika maendeleo – DW – 15.10.2024

  Wanawake wanaoishi vijijini wamezungumzia changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao, ambazo wameeleza kuwa zinawanyima fursa adhimu za kimaendeleo, kiuongozi, kiuchumi, na kijamii. DW imezungumza na wanawake kutoka maeneo tofauti ya vijijini hapa nchini, na wakaeleza changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao. Aneth Mwinama, Mkazi wa Kijiji cha Chikunja, Wilaya ya Masasi, Mtwara, anasema mifumo…

Read More

Ayonga ndiye mbabe wa Gymkhana

MCHEZAJI maarufu wa klabu ya Dar es Salaam Gymkhana, Kiki Ayonga ameshinda taji la mashindano ya mwisho wa mwezi ya UAP Insurance. Ayonga ameibuka kidedea kwa njia ya count back baada ya kufungana kwa mikwaju ya net na 79 na Joseph Placid aliyemaliza katika nafasi ya pili. “Nimefurahi sana kushinda taji hili la mashindano ya…

Read More

Mambo yanayomsubiri Chongolo Wizara ya Kilimo

Dar es Salaam. Wadau wameeleza matarajio yao kwa Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo huku wakitaja mambo wanayotamani yapewe kipaumbele ili kuongeza tija kwenye sekta hiyo. Tayari zimepita siku nane tangu Rais Samia Suluhu Hassan alipotangaza baraza jipya la mawaziri ambalo Chongolo ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo akipokea kijiti kwa Hussein Bashe aliyewekwa kando. Wakizungumza na…

Read More