Sababu panda shuka idadi ya wanafunzi sekondari binafsi

Dar es Salaam. Mchujo, idadi ya wanafunzi wanaohitajika katika shule husika na wazazi kukosa fedha za kugharamia mahitaji na ada zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazochochea kupanda na kushuka kwa idadi ya wanafunzi sekondari binafsi. Pia ongezeko la shule za Serikali nayo imetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazofanya shule hizo kukosa wanafunzi. Sababu hizi zimetolewa…

Read More

DKT. MSONDE- MADARASA JANJA KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA WALIMU NCHINI

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI) anayeshughulikia elimu, Dkt. Charles Msonde amesema kuwa, upatikanaji wa madarasa janja (smart classrooms) utasaidia kwa kiwango kikubwa katika kuongeza ufanisi wa ujifunzaji na ufundishaji nchini pamoja na kupunguza changamoto ya upungufu wa walimu.  Dkt. Msonde amesema hayo leo  katika ofisi…

Read More

BALOZI NCHIMBI AWASILI ARUSHA

 :::::: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akipokewa na viongozi wa chama na serikali, wakiongozwa na Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha Ndugu Dadi Musa Matoroka (kulia pichani) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Ndugu Paul Makonda, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kisongo Arusha. Wengine…

Read More

Ulega aagiza uchunguzi mshauri mradi wa BRT

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza mpango wa kuitisha uchunguzi dhidi ya mshauri elekezi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya nne – LOT 4(1), unaohusisha kipande cha barabara cha Posta hadi Daraja la Kijazi (kilometa 13.5), kufuatia ucheleweshaji wa utekelezaji na uchimbaji usio na mpangilio unaoendelea katika maeneo mbalimbali….

Read More

MASABO AIPONGEZA DCEA KWA KUENDELEA KUELIMISHA JAMII MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mhe. Juliana Masabo, ameipongeza Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kwa juhudi zake kubwa katika kuelimisha jamii kuhusu madhara ya dawa za kulevya. Akizungumza wakati alipotembelea banda la Mamlaka katika maadhimisho ya Wiki ya Sheria mkoani Dodoma, Mhe. Masabo alisisitiza umuhimu wa kuendelea kuelimisha jamii, hasa wanafunzi,…

Read More

Matengenezo ya barabara ya Ifakara – Malinyi yaendelea

Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba amesema kazi ya uwekaji wa makaravati na kutengeneza tuta ili kurejesha mawasiliano ya barabara ya Ifakara – Malinyi inaendelea, licha ya changamoto ya kuongezeka kwa maji ya Mto Furua yaliyosababisha makaravati kusombwa. Ameeleza kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zimechangia kujaa kwa mto huo, hali iliyosababisha uharibifu wa…

Read More

Wastaafu waliopunjwa mafao watangaziwa neema

Dodoma. Serikali imetangaza habari njema kwa wastaafu waliostaafu kuanzia Julai mwaka 2022, ambao ni 17,068 kuwa watalipwa mapunjo yao ya mafao ya mkupuo kulingana na kikotoo kilichotangazwa Juni 13, 2024. Kiasi cha mafao ya mkupuo kiliongezwa kutoka asilimia 33 hadi 40 kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na 33 watapata…

Read More

DIAMOND NA PEPSI WAENDELEZA HARAKATI ZA KITAIFA ZA VIJANA

::::::::: PEPSI Tanzania, inayozalishwa na kusambazwa na SBC Tanzania Ltd, kampuni ambayo imekuwa ikiburudusha na kukata kiu ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 24,imetangaza kuendeleza ushirikiano wake wa kibiashara na Diamond Platnumz, Supa-Staa wa muziki Tanzania na Nyota wa kimataifa.  Ushirikiano huo kati ya SBC na mwanamuziki maarufu katika muziki wa Bongo Fleva ulioanza mwaka…

Read More

Kiama kwa waharibifu wa mazingira, vyanzo vya maji

Morogoro. Tatizo la uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji linaloendelea nchini, limeifanya Serikali kutoa maagizo saba kwa mamlaka za wilaya, mikoa na za maji ikiwamo kutungwa sheria ndogo za kusimamia vyanzo vyote vya maji na kuwachukulia hatua kali watakaokaidi. Maelekezo mengine ni kila Mtanzania popote alipo kutambua ajenda kubwa na muhimu kwa sasa ni…

Read More