
NMB Yapokea Tuzo ya Uwajibikaji wa Kijamii Katika Elimu kwenye Tuzo za Mufti 2025
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA na wadau wote wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuleta mshikamano wa kitaifa kupitia elimu. Akizungumza kwa niaba ya Rais Samia katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Mufti za Elimu 2025…