UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU JCT – KAKOLA NI UWEKEZAJI WA KUDUMU WA BARRICK

Mchakato wa kumwaga lami katika barabara ya Kahama-Kakola inayojengwa kwa uwezeshaji wa kampuni ya Barrick nchini ukiendeleaMchakato wa kumwaga lami na kuisambaza ukiendeleaMsimamizi wa Ujenzi wa barabara ya Kahama-Kakola kutoka Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mhandisi Marco Bee, akiongea kuhusu maendeleo ya ujenzi huo unaotekelezwa kwa ufadhili wa kampuni ya Barrick nchini.Msimamizi Msaidizi kutoka kampuni…

Read More

Mume, majirani wasimulia Lina alivyouawa kwa kisu na nduguye

Dar es Salaam. Nia njema ya kuokoa uhai wa mdogo wake aliyekuwa karibu kuchomwa kisu, ndiyo iliyogeuka kuwa mwisho wa maisha ya Lina Kabamba, anayedaiwa kuuawa kwa kisu ambacho awali hakikukusudiwa kwake. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo lililoibua simanzi kupitia mitandao ya kijamii, kilichomponza Lina ni uamuzi wake wa kusuluhisha mzozo wa wadogo…

Read More

Stanbic yashinda tuzo benki bora kwa wateja maalumu

Dar es Salaam. Benki ya Stanbic imeibuka kinara kwa kushinda tuzo tatu za kimataifa za Benki Bora ya Kimataifa kwa Wateja Maalumu, Benki Bora kwa Kizazi Kijacho, na Benki Bora kwa Huduma kwa Wateja. Ushindi huo unaonesha mchango wake katika kusaidia wateja wa Tanzania kujenga, kukuza na kulinda ukwasi wao kwa mtazamo wa muda mrefu…

Read More

NDEJEMBI ATAKA EWURA KUKAGUA MAGHALA YA MAFUTA KUHAKIKISHA HAKUNA MAFUTA YANAYOFICHWA

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfanyabiashara anayeficha mafuta kwa kisingizio cha kusubiri bei za mafuta zipande kutokana na mgogoro unaoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati ambao umepelekea baadhi ya nchi kukumbana na changamoto za upatikanaji wa mafuta. Akizungumza jijini…

Read More

Soko Ilala Boma kuboreshwa, wafanyabiashara wajipanga mapema

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikianza michakato ya uboreshaji wa Soko la Nguo na Vyakula Ilala Boma jijini Dar es Salaam, wafanyabiashara sokoni humo, wameanza kujihesabu na kupeana namba ili wasikose nafasi baada ya ukarabati. Hofu ya wafanyabiashara hao, imetokana na yaliyotokea katika Soko la Kariakoo lililoungua Julai mwaka 2021, baada ya ukarabati, kuliibuka malalamiko…

Read More

Mtoto wa miaka 12 ajinyonga baada ya kukemewa Morogoro

  Mtoto mwenye umri wa miaka 12, Rajabu Ally Mohammed, mkazi wa Ijava wilayani Gairo mkoani Morogoro, amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kukemewa na wazazi wake kufuatia tuhuma za kujihusisha na vitendo vya udokozi. Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, Alex Mkama, amesema tukio hilo limegundulika  Machi 23, 2026 katika kitongoji cha Kaloleni, kata ya…

Read More

SGR, MV Umoja kuunganisha usafirishaji, Serikali yasema…

Mwanza. Serikali ya Tanzania imesisitiza kuwa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) haujasimama, huku ikiendelea kuunganisha mradi huo na usafiri wa majini kupitia meli ya MV Umoja ili kurahisisha usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi. Kauli hiyo imetolewa kufuatia mijadala ya wananchi kuhusu kasi ya miradi ya kimkakati, baadhi wakidai imekwama, jambo ambalo…

Read More