Jaji mstaafu, mawakili walinyooshea kidole Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Robert Makaramba kukosoa kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kumshambulia wakili Deogratius Mahinyila katika Mahakama Kuu ya Tanzania, mawakili wameeleza kwamba kitendo hicho ni kuingilia uhuru wa Mahakama. Katika tukio hilo la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa…

Read More

CCM Mjini Magharibi yaahidi kuandika historia

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mjini Magharibi, Talib Ali Talib amesema mwaka huu utakuwa wa kihistoria kwa sababu utashuhudia kumalizika kwa upinzani Zanzibar, hatua itakayosaidia kuharakisha maendeleo ya nchi. Akizungumza leo Jumapili Septemba 21, 2025, wakati wa uzinduzi wa kampeni za Jimbo la Kwahani, Talib amesema jimbo hilo litakuwa kitovu cha…

Read More

Chaumma kuja na viwanda vya nyama, kurasimisha ufugaji

Arusha. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kurasimisha sekta ya ufugaji, kuanzisha viwanda vya kuchakata nyama sambamba na kuwapatia wafugaji na wakulima ardhi mkoani Arusha. Katika hilo, chama hicho kimewatahadharisha wale wote wanaohodhi ardhi kikisema kikiingia madarakani kitawapatia ardhi hiyo wenye uhitaji. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 21, 2025na mgombea mwenza wa urais, Devota…

Read More

MIGOGORO VITUO VYA DALADALA: Historia inayojirudia Temeke

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kuvunja kituo cha daladala cha Kwamama Kibonge, kilichopo eneo la Buza jijini Dar es Salaam imeendelea kuzua mvutano mkubwa kati ya wananchi na mamlaka husika. Wananchi, madereva na wafanyabiashara wadogo waliozungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti wanasema, uamuzi huo umewaongezea gharama na usumbufu, huku Serikali ikisisitiza kuwa, lengo ni…

Read More

Kocha Yanga ana dakika 270 ngumu

YANGA tayari ipo jijini Dar es Salaam na kesho Jumatatu inaanza rasmi mazoezi kwa ajili ya mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba Jiji itakayopigwa keshokutwa, Jumatano, huku benchi na ufundi na mastaa wa timu hiyo wakiwa na dakika 270 ngumu ili kufunga hesabu za mwezi huu. Wababe hao wa soka nchini,…

Read More

Dah! Siku 765 kinyonge | Mwanaspoti

KAMA ulikuwa hujui ni Septemba 16, 2025 siku ilipopigwa mechi ya Dabi ya Kariakoo, ilikuwa ni siku 765 kamili tangu Simba ilipoonja ushindi wa mwisho mbele ya Yanga. Ndiyo, Simba iliitambia Yanga mara ya mwisho Agosti 13, 2023 katika mechi ya Ngao ya Jamii ya kuzindua msimu wa mashindano wa 2023-2024 iliyopigwa Mkwakwani Tanga kwa…

Read More

Fadlu aigomea Simba,  kuibukia Raja Athletic

SIKU 443 sawa na miezi 14 au wiki 63 tangu kocha Fadlu Davids aanze kuinoa Simba iliyomuajiri Julai 5, 2024  imedaiwa amegoma kusalia kikosini na kuamua kutimkia Raja Casablanca ya Morocco. Mwanaspoti iliyokuwa ya kwanza kueleza kwamba huenda Fadlu asingerudi na timu hiyo nchini, hali imethibitika kwa kutoambatana na msafara wa kikosi hicho kilichokuwa Botswana….

Read More