
Hezbollah yathibitisha kifocha kiongozi wake, yaapa kuendeleza vita
KUNDI la wanamgambo la Hezbollah la nchini Lebanon, limethibitisha kuuawa kwa kiongozi na mmoja wa waanzilishi wake, Hassan Nasrallah, katika shambulizi la anga la Israel jana, Septemba 27. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Hezbollah, Sayyed Hassan Nasrallah, imesema pamoja na kifo hicho, kundi hilo litaendeleza ‘vita vyake…