Majaji watakaoamua hatima ya Katiba Mpya

Dar es Salaam. Hatima ya upatikanaji wa Katiba mpya sasa imewekwa mikononi mwa jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Adam Mambi. Majaji wengine katika jopo hilo ni Dk Zainabu Mango na Frank Mirindo. Jopo hilo ndilo lililokabidhiwa na Jaji Kiongozi, Mustapher Siyani, dhima ya kuamua shauri la kikatiba linalolenga kufufua na kuhitimisha mchakato wa…

Read More

Picha| Tikiti la kampuni ya East West Seed

Balozi wa Kampuni ya East West Seed yenye Makao Makuu yako mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, Msanii Mrisho Mpoto, akionyesha Tikiti Maji lililozalishwa na kampuni hiyo Dar es Salaam Leo Julai 7,2024 Kiwakati wa Maonyesho ya 48 ya Biashara maarufu Sabasaba yenye kauli mbiu ya Tanzania Mahali sahihi pa Biashara na Uwekezaji. Kulia ni Afisa Kilimo…

Read More

FYATU MFYATUZI: Hongereni mafyatu kwa kumpenda Mama

‘Mwanafalsafa’ maarufu wa Uganda, alhaj, Doktari, field Marshall, profedheha Idi Amin Kaidada Oumee aliyepata elimu yake mtaani, aliwahi kusema kuwa lazima watawaliwa wawapende watawala bila kujali lolote au wanawatweza vipi. Lazima wawasifie hata wakikosea. Wawachekee hata kama wanapaswa kulia. Wawaabudu ikibidi hata kama wao si Mungu. Kwani, kufanya hivyo, huleta ‘amani na maendeleo’ hata kama…

Read More

Singida Black Stars yavunja kambi Arachuga

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma ametamba timu hiyo imekamilika kila idara na ipo tayari kwa ajili ya mzunguko wa pili huku akitamba licha ya ugeni wa benchi la ufundi, wanajivunia wachezaji wao kuingia kwenye mfumo kwa uharaka. Singida Black Stars iliingia kambini mapema kwa ajili ya kujiweka sawa chini ya benchi lao…

Read More

Mkutano wa Jeddah unafungwa kwa kupitishwa kwa ahadi za kimataifa za kukabiliana na ukinzani wa antimicrobial – Masuala ya Ulimwenguni

Mara baada ya kupitishwa kwa ahadi hizo katika mji wa pwani wa Saudia, Waziri wa Afya wa nchi mwenyeji Fahad Al-Jalajel alisema matokeo ya mkutano huo yanatoa “vizuizi muhimu vya ujenzi” kwa nchi wanachama na mashirika ya kimataifa kuchukua hatua kwa kiasi kikubwa dhidi ya upinzani dhidi ya viini, na kwamba inajenga. kwenye Azimio la…

Read More

llani ya Uchaguzi NLD yaja na mambo haya

Dar es Salaam. Katika Taifa ambalo vijana ndio kundi kubwa la watu, ajira imeendelea kuwa ajenda kuu katika kila uchaguzi mkuu. Kila mwaka, maelfu ya wahitimu kutoka vyuo vikuu na vya kati huingia sokoni kutafuta ajira, lakini nafasi hizo zimeendelea kuwa haba. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa  2025, vyama mbalimbali vya siasa vinaendelea kuwasilisha mikakati yao…

Read More