Ripoti ya CAG yabaini upungufu katika usimamizi wa data za elimujiolojia nchini

Ripoti ya ukaguzi wa utendaji kuhusu usimamizi wa data za kielimujiolojia katika sekta ya madini nchini imebaini mapungufu makubwa katika ukusanyaji, uchambuzi, uhifadhi na usambazaji wa taarifa hizo muhimu. Hali hiyo imeelezwa kuwa inahatarisha juhudi za Serikali za kuvutia wawekezaji na kufanikisha malengo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2021/22–2025/26. Ripoti hiyo…

Read More

BILIONI 4.17 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA KIHURIO SAME.

NA WILLIUM PAUL, SAME. WANANCHI wa Kata ya Kihurio wilayani Same Mkoani Kilimanjaro wameishukuru Serikali kuwapatia mradi mkubwa wa maji unaogharimu zaidi ya shilingi Bilioni 4.17 ambao utakuwa mwarobaini wa changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi zaidi ya 10,000 wa Kata hiyo. Pili Salim, ni miongoni mwao Wakazi wa…

Read More

Waarabu wapiga kambi Singida Black Stars

WAKATI kiungo wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Josaphat Arthur Bada akidaiwa kukaribia kujiunga na JS Kabylie ya Algeria, nyota mwingine wa timu hiyo pia, Marouf Tchakei anawindwa na Ismaily SC ya Misri ili kuichezea msimu ujao. Taarifa ambazo Mwanaspoti lilizipata, zinaeleza Tchakei raia wa Togo ni chaguo la Kocha Mkuu, Miloud Hamdi…

Read More

BALOZI NCHIMBI KUONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA KIBIKI LEO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kuongoza waombolezaji katika shughuli ya kutoa heshima za mwisho na mazishi ya Ndugu Christina Alex Kibiki, aliyekuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa, ambaye alipoteza uhai hivi karibuni baada ya kuvamiwa na kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana….

Read More