Trump: Ushirikiano wa Dunia Unahitajika Kulinda Njia ya Mafuta

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Rais wa Marekani Donald Trump Rais wa Marekani Donald Trump usiku wa kuamkia leo Machi 17, 2026 amesema  operesheni za kijeshi dhidi ya Iran zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa, akidai kuwa uwezo wa kijeshi wa taifa hilo “umeangamizwa kabisa” kufuatia mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli…

Read More

Moussa Camara amshtua kocha Yanga

KIWANGO bora alichoonyesha kipa wa Simba, Moussa Camara ‘Spiderman’ katika pambano la Dabi ya Kariakoo, kimemshtua kocha Mfaransa anayeinoa Yanga na kusema kama sio umahiri wa kipa huyo raia wa Guinea, huenda mambo yangekuwaharibikia Wanamsimbazi. Katika pambabo hilo la Ngao ya Jamii lililochezwa Jumanne ya wiki hii, Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0, huku Camara…

Read More

Bado Watatu – 2 | Mwanaspoti

USIKU ule nilirudi nyumbani nikiwa na fadhaa. Asubuhi yake ndio siku ambayo mkuu wangu wa kazi alinikabidhi cheo changu kipya kilichotoka makao ya polisi jijini Dar na kunivalisha tepe za uinspekta.Akili yangu ilikuwa haipo pale, ilikuwa kwa Hamisa. Hata baada ya kupata cheo hicho sikuonekana kuwa mwenye furaha kamili.Nilikabidhiwa ofisi mpya na majukumu mapya huku…

Read More

JAMBO GROUP MDHAMINI MKUU PAMBA JIJI FC

Viongozi wa Jambo Group na viiongozi wa Pamba Jiji FC katika picha ya pamoja.Pamba jiji FC wakitembelea kiwanda cha Jambo Food product. Na Eunice Kanumba-Shinyanga Kampuni ya Jambo Group ya mjini Shinyanga sasa ni mdhamini mkuu wa timu ya Pamba FC ya jijini Mwanza katika msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba…

Read More

WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NCHINI

▪️Awataka wazingatie maadili, wadumishe uadilifu na kulinda usiri wa taarifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya kazi, kudumisha uadilifu na kulinda usiri wa taarifa zote zinazohifadhiwa kwani taarifa hizo ni nyenzo muhimu ya usalama wa Taifa na maendeleo ya nchi. Amesema kuwa Chama Cha Menejimenti ya Kumbukumbu…

Read More

ABDALLAH ULEGA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE KWA KISHINDO JIMBO LA MKURANGA

  Amuombea kura mgombea Urais CCM Dk.Samia …agusia Katiba Mpya Na Mwandishi wetu, MGOMBEA Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Alhaj Abdallah Ulega amewataka watanzania kama wanataka katiba mpya basi wanapaswa kumchagua Dkt Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Amesema hata katika uzinduzi wa kampeni kitaifa zilizofanyika jijini Dar…

Read More

Upelelezi kesi ya ‘Dk Manguruwe’ uko hivi

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, upo katika hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali, Winiwa Kassala, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Jumata-tu Septemba 29, 2025, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mkondya na…

Read More