TARANGIRE SCHOOL YAANDIKA HISTORIA, YAFANYA MAHAFALI YA DARASA LA SABA HIFADHINI

Na Pamela Mollel,Manyara  Shule ya Tarangire Pre & Primary English Medium School (Tarangire School) imeibua ubunifu wa aina yake baada ya kufanya mahafali ya darasa la saba kwa mwaka 2025 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, tukio ambalo halijawahi kushuhudiwa mkoani Manyara. Mahafali hayo yaliyofanyika Jumamosi, Septemba 13, 2025, yaliwaaga wanafunzi 40 walioketi mtihani…

Read More

Mashaka yeye kwake kambi popote

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema kitendo cha Simba kumtoa kwa mkopo ni fursa kwake kujipanga ili arejee katika ushindani. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Mashaka anasema kujipanga upya siyo kitu cha ajabu kwa mchezaji, badala yake anaweza kufanya vitu vikubwa kuliko mwanzo akisisitiza hata Ulaya inafanyika hivyo. Baada ya kutoonyesha kiwango bora akiwa na…

Read More

Mwendokasi Mbagala kufanya kazi sambamba na daladala

Dar es Salaam. Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya kuanza rasmi kwa huduma ya mabasi yaendayo haraka (BRT) barabara ya Mbagala, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) imesema daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo zitaendelea kufanya safari zake kama kawaida. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano Agosti 27, 2025, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti…

Read More