Trump: Ushirikiano wa Dunia Unahitajika Kulinda Njia ya Mafuta
Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Rais wa Marekani Donald Trump Rais wa Marekani Donald Trump usiku wa kuamkia leo Machi 17, 2026 amesema operesheni za kijeshi dhidi ya Iran zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa, akidai kuwa uwezo wa kijeshi wa taifa hilo “umeangamizwa kabisa” kufuatia mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli…