Kurugenzi waikimbia Moro Kids ‘playoff’ First League
Morogoro. Mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya mtoano (play off) baina ya Moro Kids ya Morogoro na Kurugenzi FC ya Simiyu umeshindwa kufanyika baada ya Kurugenzi kushindwa kufika katika mchezo uliopangwa kuchezwa leo, Aprili 27 kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Mchezo huo maalumu wa kutafuta timu itakayocheza First League maarufu Ligi Daraja…