Tanzania kubeba ajenda ya vijana, wenye ulemavu mkutano UN

Dar es Salaam. Ushirikishwaji wa vijana na watu wenye ulemavu ni miongoni mwa mambo yaliyopendekezwa na yatakayowasilishwa katika mkutano wa Umoja wa Mataifa uitwao Summit of the Future, utakaofanyika nchini Marekani Septemba 22 hadi 23, 2024. Hayo yameelezwa leo Septemba 6, 2024 wakati wa ukusanyaji maoni ya kupeleka kwenye mkutano huo unaohusisha asasi za kiraia,…

Read More

VIDEO: Polisi yaanza uchunguzi mauaji ya Katibu wa CCM Kilolo

Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa linachunguza tukio la mauaji ya aliyekuwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo, Christina Nindi (56). Nindi ameshambuliwa kwa kupigwa risasi kifuani pamoja na kitu kizito na watu wasiojulikana. Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Novemba 13 na Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Allan Bukumbi amesema Nindi ambaye…

Read More

Silaa awataka wana-CCM Ukonga kunadi Maendeleo ya Dkt. Samia.

Na Mwandishi Wetu, Ukonga. Mbunge wa Jimbo la Ukonga ambaye pia ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo hilo, kushirikiana na kuyasema mambo mazuri yote yanayofanywa na Serikali, ikiwepo utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya…

Read More

Mbunge Nape ametumia usafiri wa pikipiki kwenda kupiga kura

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye akiwa jimboni kwake ametumia usafiri wa pikipiki kwenda kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na mambo mengine amewataka wagombea wote wakubali matoke “watu wamejitokeza kwa wingi hilo jambo linafurahisha, nataka kutoa wito kwa wagombea wote wakubali matokeo sababu hii nayo ni tabu watu wakishapiga kura matokeo…

Read More

Dira ya 2050 ndani ya jicho la wadau wa elimu

Dar es Salaam. Wadau wa elimu nchini wameendelea kuitazama Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 kwa jicho la matumaini makubwa, hasa katika nguzo ya pili inayohusu “Uwezo wa Watu na Maendeleo ya Jamii”. Kwa mujibu wa dira  hiyo, elimu ni injini kuu ya maendeleo ya watu na jamii, na hivyo uwekezaji wake unaelekezwa katika…

Read More

Ngoma awasaparaizi mashabiki Simba | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya kucheza mechi ya mwisho kwa msimu huu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga, kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma amewasapraizi mashabiki wa klabu hiyo kwa kuwaaga rasmi leo kupitia ukurasa wake wa Instagram. Ngoma ameaga ikiwa siku chache tu, tangu Simba ilipopoteza pambano la dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga…

Read More

Serikali yaagiza wananchi kuwajibika kulinda misitu

Iringa. Kutokana na ongezeko la matukio ya moto wa misitu na uharibifu wa rasilimali za asili nchini, Serikali imeelekeza kuimarishwa kwa elimu na uhamasishaji wa wananchi ili kuongeza ushiriki katika kulinda misitu, kudhibiti majanga ya moto na kuhamasisha uwekezaji endelevu katika sekta hiyo muhimu ya uchumi. ‎Akizungumza na Mwananchi Digital Oktoba 16, 2025, katika ukumbi…

Read More