Katibu Mkuu Uchukuzi atembelea Banda la TCAA

  Katibu Mkuu Uchukuzi atembelea Banda la TCAA Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) inashiriki katika Maonesho ya 73 ya Baraza la Kimataifa la Viwanja vya Ndege (ACI Africa) na imepata fursa ya kutembelewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara. Maonyesho hayo yanafanyika katika viwanja vya Mount Meru Hotel, yanayofanyika sambamba…

Read More

UZINDUZI WA “AMAZING TANZANIA” WATIA FORA, DKT. ABBASI AELEZA TAMU NA CHUNGU ZA “LOCATION” NA MARAIS WA NCHI

Hatimaye Filamu ya kuitangaza nchi Uchina ya “Amazing Tanzania” iliyomshirikisha Rais Samia Suluhu Hassan, Dr. Hussein Mwinyi na msanii Jin Dong kutoka China, imezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo Waziri wa Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amemwakilisha Rais Samia huku Serikali ya Uchina chini ya Rais Xi Jinping ikiwakilishwa na Naibu…

Read More

Rais Samia aionya Simba fainali Muungano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan ameionya klabu ya Simba wakati ikijiandaa kukutana na Azam kwenye fainali ya Kombe la Muungano. Akizungumza leo kwenye kilele cha Miaka 60 ya Muungano, Rais Samia amesema Simba haitakiwi kuidharau Azam kwenye mechi hiyo ya fainali itakayochezwa kesho kuanzia saa 2:15 usiku kwenye Uwanja…

Read More