Mvua kubwa kufikia ukomo Aprili 28
Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi nchini zinatarajiwa kukoma Aprili 28, 2024. TMA imesema mifumo inayosababisha viashiria vya mvua kubwa inaenda kudhoofu. Meneja wa Utabiri wa TMA, Dk Mafuru Kantamla amesema hadi kufikia Aprili 28, 2024 mifumo inaonyesha hali ya mvua kubwa itakoma….