Siku saba za presha umeya, uenyekiti wa halmashauri

Dar es Salaam. Joto la uteuzi wa kuwania umeya wa majiji, manispaa na wenyeviti wa halmashauri limehamia ngazi ya kamati za siasa za mikoa, zitakazochuja na kupendekeza majina ya wagombea hao kwa ngazi ya kitaifa. Hatua hiyo ni baada kamati za siasa za wilaya za Chama cha Mapinduzi (CCM) zilizoketi leo Jumamosi Novemba 22 nchi…

Read More

MONGELLA AANZA RASMI ZIARA YAKE MKOANI SHINYANGA

Naibu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga mara baada ya kuwasili mkoani hapo kwa ziara ya chama ya siku saba leo, tarehe 6 Septemba 2024. Mongella ni mlezi wa CCM Mkoa wa Shinyanga. Pamoja na kutia saini kitabu cha wageni,…

Read More

Tira yabeba ajenda ya bima ya afya kwa wote

Dar es Salaam. Wakati kampuni 40 chini ya usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (Tira) zikishiriki Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) mkazo mkubwa umewekwa kuhamasisha umma kuhusu Bima ya Afya kwa Wote (UHI). Vipindi vya elimu vinafanyika kila siku kwenye maonyesho hayo ili kuwasaidia wananchi kuelewa…

Read More

Uchunguzi wa watekaji, mauaji ufanyike pia Z’bar

Kwa wiki mbili sasa, mada iliyotawala vyombo vya habari, baraza na vijiwe vya mazungumzo Tanzania Bara na Visiwani ni matukio ya watu kutekwa nyara na kupotea, wengine kuteswa na miili yao kuokotwa kwenye vichaka au fukwe za bahari. Katika suala hili, tumesikia sauti za wanasiasa, taasisi za kiraia, viongozi wastaafu, wanasheria na watu mbalimbali. Vilevile,…

Read More

Upelelezi kesi ya Dk Manguruwe ‘ngoma nzito’

Dar es Salaam. Serikali bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kama Dk Manguruwe. Mkondya na mwenzake, Mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59), wanakabiliwa na mashtaka 28, yakiwemo ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji fedha kinyume cha…

Read More

BARRICK BUZWAGI YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUSAIDIA JAMII NA YENYE KULETA MAENDELEO ENDELEVU

Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akizungumza alipofanya ziara kwenye mradi ujenzi wa chujio la maji ya mvua linalojengwa katika Kata ya Mwendakulima unaotekelezwa kwa ufadhili wa Barrick Buzwagi kwa ushirikiano na Serikali. Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akipata maelezo…

Read More