Mafundi Rangi, ujenzi Kilimanjaro, waungana kuzisaka fursa za kiuchumi

Moshi. Mafundi rangi na ujenzi mkoani Kilimanjaro wameamua kujitafuta ili kukabiliana na changamoto za kitaaluma, kimazingira, na kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia weledi unaohusiana na shughuli zao. Mafundi hao, ambao sasa wanaunda umoja wao kupitia chama cha Mafundi Rangi na Ujenzi Mkoa wa Kilimanjaro (Chamaruki), wamekusudia kutumia fursa mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi na kuboresha shughuli…

Read More

Dk Biteko: Rais Samia kawapaisha wanawake sekta ya madini

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea kufungua fursa za kuwawezesha wananchi kiuchumi ikiwa ni pamoja na kutilia mkazo ushirikishaji wa wanawake katika uchimbaji wa madini wenye tija. Dk Biteko amesema  hayo jijini Dar es Salaam juzi aliposhiriki kongamano maalumu kuelekea maadhimisho Siku…

Read More

MAKAMU WA RAIS AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU NKONDO

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na mwenza wake Mama Mbonimapaye Mpango wameifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bw. Johnson Nkondo aliyekuwa Msaidizi wa Ofisi Mkuu – Ofisi ya Makamu wa Rais aliyefariki tarehe 13 Februari 2025 katika Hospitali ya Benjamini Mkapa mkoani Dodoma…

Read More

CBE kujenga maabara za kisasa za viwango

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinatarajia kujenga maabara za kisasa zitakazoidhinishwa na mashirika ya kimataifa ya viwango ambazo zitakuwa kitovu cha mafunzo, utafiti, na ushauri wa vipimo katika Afrika Mashariki na Kati. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam  na Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga wakati akizungumza na waandishi…

Read More

UCHAMBUZI WA MALOTO: Muhimu kuyajua matokeo baada ya ghasia za kuangusha Serikali

Oktoba 20, 2011, saa 2:30 asubuhi kwa saa za Ulaya Mashariki (Eastern European Standard Time), saa 4:30 asubuhi Tanzania, aliyekuwa Kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi, akiongozana na vikosi vya jeshi la Libya, walikuwa wakikatiza barabarani kwenye mji wa Sirte. Uelekeo wa Gaddafi ulikuwa kwenye eneo Jarref Valley, mji aliozaliwa. Inaamimika kuwa Gaddafi alikuwa na uhakika…

Read More