Mauaji ya mtoto Asimwe yanatia doa sifa ya Tanzania

Mei 30, 2024, mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath, umri miaka miwili, alinyakuliwa kutoka kwa mama yake, kisha watu wakatoweka naye. Juni 17, 2024, ikiwa ni siku 18 tangu alipochukuliwa pasipo haki, Asimwe alikutwa mabaki ya mwili. Roho ilishaacha mwili, kisha mwili nao ulikutwa nusu. Baadhi ya viungo vilishanyofolewa. Asimwe, mtoto mzuri, halafu mrembo. Kisa ulemavu…

Read More

Kocha ASEC Mimosas amaliza utata wa Aziz KI, Ahoua

KOCHA wa Asec Mimosas, Julie Chevalier, amewachambua viungo washambuliaji Jean Charles Ahoua na Stephane Aziz KI waliowahi kucheza Ligi Kuu ya Ivory Coast kabla ya sasa kukiwasha Ligi Kuu Bara. Mastaa hao wanaokipiga kwenye klabu mbili kubwa Ligi Kuu Bara, Ahoua anaichezea Simba na Aziz KI Yanga, wote ni tegemeo katika vikosi vyao. Akizungumza na…

Read More

Miundombinu ya barabarani, madaraja tumejenga wenyewe

Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa kwa sasa inajenga miundombinu ya barabara na madaraja kwa kutumia fedha za kodi kwa ajili ya kuboresha usafiri na maendeleo ya wananchi. Imeeleza katika kipindi cha miaka minne  barabara za lami zenye urefu wa kilomita 1,365 zimekamilika kujengwa na kilomita 2,380 za barabara za kiwango cha lami zinaendelea kujengwa…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO YA MLIPAKODI BORA JANUARY 23.2025

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kufanya maadhimisho ya siku ya shukrani na kutoa tuzo kwa Walipakodi bora kwa mwaka 2023/2024 tukio litakalofanyika Jijini Dar es Salaam January 23.2025. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Arusha Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano Bw. Richard Kayombo amesema mgeni rasmi katika maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa…

Read More

Rekodi zaibeba Simba Amaan | Mwanaspoti

BAADA ya Simba kutanganza kuwa mechi yao dhidi ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini itachezwa kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar, wadau wa soka wameitaka kujiandaa vizuri ili kutumia vizuri uwanja huo kwa kupata mabao ya kutosha, huku dimba hilo haliwajawahi kuwapa matokeo mabaya. Wakati Simba itatumia uwanja huo kwa sababu ya Uwanja wa Benjamin Mkapa,…

Read More