ECOWAS yahofia kitisho cha mpasuko – DW – 08.07.2024

Haya yameelezwa kwenye mkutano wa kilele wa jumuiya hiyo ya ECOWAS ulioanza jana Jumapili mjini Abuja, Nigeria.  Rais wa Halmashauri kuu ya ECOWAS Oumar Touray amesema wakati wa ufunguzi wa mkutano huo wa Abuja kwamba ukanda huo unakabiliwa na kitisho cha kugawanyika na kuongezeka kwa mashaka ya kukosekana kwa usalama baada ya mataifa hayo matatu…

Read More

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA SIKU SABA KWA TLP

Na Pamela Mollel,Arusha MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini,ameupa muda wa siku Saba Uongozi wa Chama cha Tanzania Labour Part (TLP), kutoa ufafanuzi wa madai ya ukiukwaji wa Katiba ,Kanuni za Chama hicho kikongwe cha Siasa Nchini kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa ofisini kwake na Wanachama wa Chama hicho Nchini. Katibu Mwenezi wa TLP,Taifa ,Jofrey Stivini,amewaambia wanahabari…

Read More

Hizi ndizo sifa wanazotaka wanaume kwa wanawake

Katika uhusiano wa mapenzi, kuna sifa zinazomfanya mwanamke awe wa kipekee na kuvutia mwanaume. Ingawa kila mwanaume ana vigezo vyake, kuna tabia za kimsingi ambazo kwa ujumla huongeza mvuto wa mwanamke na kuimarisha uhusiano wake na mpenzi wake. Tuone baadhi ya sifa hizo. Mwanaume huvutiwa na mwanamke anayetoa mazingira ya utulivu na amani. Mwanamke asiye…

Read More

CHADEMA SIMANJIRO WAFURAHIA WAGOMBEA WAO KUTOKATWA

Na Mwandishi wetu, Simanjiro CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, kimewapongeza wasimamizi wa uchaguzi kwa kutenda haki na kuwapitisha wagombea uenyekiti wa vitongoji na vijiji bila kukata majina yao. Katibu mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Simanjiro Ambrose Ndege ameeeleza kuwa wanatarajia kuanza kufanya kampeni ya uchaguzi November 20 kwenye maeneo…

Read More