Hofu, matumaini ya Bryson JKT

BEKI wa JKT Tanzania, David Bryson ameutaja msimu wa 2025/26 ni dume kutokana na ushindani uliopo, huku akiwatahadharisha wapinzani wao, wanaitaka tano bora ya Ligi Kuu Bara, hivyo watarajie ushindani. Bryson amesema hayo baada ya kucheza dakika 90 dhidi ya KMC na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na kupata ushindi wa…

Read More

Simba yahamia kwa beki Mnigeria

BAADA ya Simba kumkosa aliyekuwa beki wa kati wa ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Souleymane Coulibaly ambaye amejiunga na IFK Varnamo ya Sweden, kwa sasa mabosi wa kikosi hicho wametua Nigeria mmoja matata kutoka Nigeria. Simba inahitaji tena beki mwingine wa kati baada ya kudaiwa huenda pia ikampa mlango wa kutokea, Che Fondoh Malone msimu…

Read More

Sambo, Meya mpya Kigamboni | Mwananchi

Dar es Salaam. Madiwani 14 wa Halmashauri ya Kigamboni wamemchagua Diwani wa Kata ya Kibada, Amani Mzuri Sambo, kuwa Meya wa Halmashauri hiyo, akichukua nafasi iliyoachwa na Ernest Mafimbo aliyemaliza muda wake wa uongozi. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo Desemba 5, 2025, Sambo ambaye alikuwa mgombea pekee, alipata kura 13 za ndiyo na mojawapo ya…

Read More

NEMC Yawatembelea Watoto Wenye Ulemavu

-𝐘𝐚𝐬𝐡𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐤𝐨𝐧𝐨 𝐊𝐢𝐭𝐮𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐄𝐫𝐢𝐜k 𝐌𝐞𝐦𝐨𝐫𝐢𝐚𝐥 𝐌𝐨𝐫𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨 Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia timu yake ya wanamichezo wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 wametembelea Kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Erick Memorial mkoani Morogoro Disemba 4, 2025. Timu hiyo ya NEMC ilipata fursa ya kutembelea, kufariji na kuwapa misaada ya…

Read More

Gamondi aanza kunogewa Singida Black Stars

WAKATI timu inajiandaa na kusherehekea ubingwa wa mashindano ya Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema bado wana kazi kubwa ya kufanya kuendeleza ushindani. Ligi Kuu Bara inatarajia kusimama kwa muda wa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa, huku timu hiyo ikiwa inaongoza msimamo baada ya…

Read More

NELSON MANDELA MARATHON KUFANYIKA SEPTEMBA 22,2024

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof Maulilio Kipanyula akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo katika picha) wakati alipokuwa akitambulisha mbio za masafa marefu za Nelson Mandela (Nelson Mandela Marathon) zinazotarajiwa kufanyika September 22, 2024 katika kampasi ya Tengeru Arusha. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Nelson Mandela Marathon…

Read More

Rekodi kali za kuruka zinazosubiri kuvunjwa Olimpiki

WANAMICHEZO 10,500 watakuwa katika Jiji la Paris, Ufaransa kwa ajili ya michezo ya Olimpiki itakayofanyika kuanzia Julai 26 hadi Agosti 11, mwaka huu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo makubwa ya michezo duniani washiriki kutoka zaidi ya nchi 200 watakuwa nusu wanaume na nusu wanawake ambao watashindana katika michezo 32. Kwa kawaida…

Read More