Saliboko ashika nafasi ya 71 Olimpiki

TANZANIA imepata pigo lingine katika Michezo ya Olimpiki ya Paris inayofanyika Ufaransa baada ya muogeleaji Collins Saliboko kushindwa kufuzu hatua inayofuata kwenye mashindano ya mita 100 freestyle, baada ya leo Jumanne Julai 30, 2024 kukamata nafasi ya 71 kati ya waogeleaji 79 alioshindana nao. Kabla ya hapo, jana Jumatatu Julai 29, 2024, mchezaji wa judo…

Read More

Mauaji ya Catatumbo yanaonyesha udhaifu wa mchakato wa amani – Masuala ya Ulimwenguni

Mapigano kati ya Jeshi la Ukombozi wa Kitaifa (ELN) na kundi pinzani lenye silaha, EMBF, yalizuka wiki iliyopita katika eneo la mbali la kaskazini mashariki, na kusababisha vifo vya watu kadhaa, wakiwemo wapiganaji wa zamani, waliotia saini amani, viongozi wa kijamii na watetezi wa haki za binadamu. Wahasiriwa wengi walilengwa kibinafsi, kulingana na ripoti za…

Read More

Lema alia na makundi ndani ya Chadema Kilimanjaro

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbess Lema amewataka wanachama Mkoa wa Kilimanjaro kuvunja makundi ili kukipigania chama hicho na kukivusha hatua moja kwenda nyingine. Lema amesema hayo alipozungumza kwenye mkutano wa uchaguzi wa viongozi wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro uliofanyika jana Jumanne Novemba 12, 2024. Amesema ni…

Read More

‘Msafara wa Chaumma usipime, wateka vijana’

Dodoma. Matarumbeta, ngoma za asili na kelele za muziki vilitawala mitaa ya Njedengwa leo, wakati mgombea urais kupitia Chaumma, Salum Mwalimu, alipowasili kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo. Eneo la Njedengwa, lilio umbali wa takriban kilomita 4.8 kutoka katikati ya jiji la Dodoma, ndiko yalipo makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)….

Read More

WAZIRI KOMBO AAGANA NA BALOZI WA ALGERIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na Balozi wa Algeria nchini Mhe. Ahmed Djellal aliyefika katika ofisi za Wizara Dar es Salaam kutoa shukrani na kuaga akiwa anaelekea ukingoni mwa kuhudumia nchini Tanzania. Kwa pamoja viongozi hao wawili wamekumbushana kuhusu historia nzuri ya uwili kati ya…

Read More

Kocha Yanga afichua siri ya Mpanzu

KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita ya DR Congo aliyewahi kumfundisha, winga mpya wa Simba, Elie Mpanzu amefichua kama Wekundu wa Msimbazi wanataka kumfaidi vilivyo nyota huyo basi kocha Fadlu Davids anapaswa kumtumia tofauti. Kocha huyo,  Raoul Shungu aliyasema hayo jana alipozungumza na Mwanaspoti kutoka DR Congo akieleza namna Simba ilivyolanda dume kumsajili…

Read More