Kigogo wa CUF atimkia ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo leo Jumapili Mei 11, 2025 kimempokea, aliyekuwa Katibu Mtendaji Jumuiya ya Vijana, Ofisa Mwandamizi ofisi ya Katibu Mkuu, Msaidizi wa Katibu Mkuu, Mjumbe wa Mkutano Mkuu na baraza kuu, Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Wananchi (CUF) taifa, Iddy Mkanza. Hayo yanajiri wakati katika uga wa siasa nchini…

Read More

LIVE: Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu. Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana Kesi hiyo imefunguliwa…

Read More

Wateja Dar wahamia Soko la Tandika

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya maduka kufungwa katika Soko la Tandika, wachuuzi wa bidhaa ndogondogo na wateja wamehamia sokoni hapo. Maduka hayo yamefungwa kutokana na mgomo wa wafanyabiashara ulioingia siku ya pili leo Juni 25, 2024 ukianzia eneo la Kariakoo. Katika Soko la Tandika kumekua na msongamano wa watu, kwa kiasi kikubwa wakiwa…

Read More

ACT Wazalendo ilivyojipanga kuvuna wanachama wapya

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kilianzishwa kama chombo mbadala kwa wanamageuzi, hivyo kipo tayari kumpokea mwanasiasa yeyote atakayetaka kujiunga nacho. Sio kuwapokea tu, kimesema hata watakaotaka kugombea, watapewa nafasi kama wanachama wengine na kupitia michakato ya kikatiba ndani ya chama hicho. Sambamba na hilo, ACT Wazalendo imeongeza muda kwa wanachama wake…

Read More