TFS WACHANGIA MIL.20 KWA WENYE MAAFA KIBITI NARUFIJI
Na Khadija Kalili ,Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge leo amepokea hundi yenye thamani ya Mil.20 kutoka Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ikiwa ni katika muendelezo wa kuchangia watu wa Kibiti na Rufiji ambao wamepata changamoto ya mafuriko yaliyotokana na mvua zinazoendelea nchini kote. Imeelezwa na Afisa Uhusiano wa TFS Johary…