TFS WACHANGIA MIL.20 KWA WENYE MAAFA KIBITI NARUFIJI

Na Khadija Kalili ,Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge leo amepokea hundi yenye thamani ya Mil.20 kutoka Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ikiwa ni katika muendelezo wa kuchangia watu wa Kibiti na Rufiji ambao wamepata changamoto ya mafuriko yaliyotokana na mvua zinazoendelea nchini kote. Imeelezwa na Afisa Uhusiano wa TFS Johary…

Read More

UCSAF yapongezwa kwa kujenga na kuhamia Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ameupongeza Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF) kwa kutekeleza maelekezo ya Serikali kwa taasisi za umma kujenga na kuhamia katika Makao Makuu ya nchi Dodoma. Akizungumza kabla ya kuzindua rasmi jengo la Ofisi za Makao Makuu ya UCSAF leo Aprili 25, 2024…

Read More

Vifo vilivyosababishwa na mafuriko Moshi vyafikia saba

Moshi. Vifo vinavyotokana na mafuriko katika Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro vimeongezeka na kufikia saba, baada ya mtu mmoja kufariki kwa kuangukiwa na kifusi katika eneo la Mbokomu na mwingine aliyekuwa majeruhi kufariki dunia. Katika ya vifo hivyo, wamo pia watu wanne wa familia moja wakiwemo watoto watatu ambao wamepoteza maisha baada ya kuangukiwa na…

Read More

Mpina amshukuru Samia kumwondoa Makamba Nishati

Dodoma. Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwondoa aliyekuwa Waziri wa Nishati, January Makamba na kuibadilisha Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Mpina ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 25, 2024 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishati kwa mwaka 2024/25. Amempongeza Naibu…

Read More