Uwanja wa ndege Arusha kutoa huduma saa 24

Dodoma. Uwanja wa ndege wa jijini Arusha ulioko eneo la Kisongo, utaanza kutoa huduma za kuruka na kutua ndege saa 24, Desemba mwaka huu. Mbali na hilo, Sh5.93 bilioni zimetumika katika kuwalipa fidia wananchi 187 watakaopisha ujenzi wa Uwanja cha ndege Ziwa Manyara. Hayo yamesemwa leo Jumapili, Julai 20, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha, Ndejembi awafunda

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital ZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa mafunzo maalum ya usalama na afya kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kutambua vihatarishi vya ajali na magonjwa katika shughuli zao za uzalishaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja…

Read More

Urithi alioacha ofisa hazina, azikwa pamoja na bintiye

Arumeru. Ni majonzi, aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Ofisi ya Hazina, Amos Nnko na binti yake Maureen wakizikwa. Nnko na Maureen (16) walifariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea Same mkoani Kilimanjaro Desemba 22, 2024. Katika ajali hiyo, Agnes mke wa Nnko, watoto wao wawili Merilyne na Melvine na msaidizi wa…

Read More

Zamalek washusha mzigo Yanga | Mwanaspoti

NDANI ya wiki chache zijazo, mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ataweka rekodi mbili kwenye soka la Tanzania endapo dili lake la kucheza nje litakwenda kama lilivyopangwa. Rekodi ya kwanza ni kwamba anakwenda mchezaji wa kwanza wa Tanzania Bara kuuzwa kwa dau kubwa zaidi nje ya nchi, lakini pili anakuwa staa wa kwanza mzawa kununuliwa na…

Read More

Mahakama yafanya uamuzi kesi Dabi ya Kariakoo

SAKATA la mchezo wa Dabi ya Kariakoo ambalo Yanga imeapa kuwa haitapeleka timu uwanjani Juni 15, mwaka huu, limechukua sura mpya baada ya kuwasilishwa mahakamani na mmoja wa wanachama wa Yanga, ambako hata hivyo chombo hicho cha kutafsiri sheria kimetoa uamuzi rasmi leo, Ijumaa, Juni 6, 2025.  Mchezo huo wa Yanga dhidi ya Simba ambao…

Read More