MATUMIZI YA MFUMO WA E-BOARD UNAPUNGUZA GHARAMA-DED ILEMELA

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Mohammed Wayayu,akizungumza kuhusu mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board) Ofisini kwake Ilemela jijini Mwanza. Na.Mwandishi Wetu-MWANZA Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali…

Read More

Exim yawainua kiuchumi wanawake wajasiriamali kupitia mpango wa WEP

  BENKI ya Exim kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP), imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa wanawake wajasiriamali kama sehemu ya kuunga mkono ujumuishwaji wa watu wote, wakiwemo  wanawake, katika mipango mbalimbali ya maendeleo nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kupitia mpango wake wa ‘Exim…

Read More

Exim Bank yaendelea kuwainua kiuchumi wanawake wajasiriamali kupitia mpango wa WEP – MWANAHARAKATI MZALENDO

Stanley Kafu, Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Exim Bank, akizungumza wakati wa mahafali ya pili ya mpango endelevu wa kuwainua kiuchumi wanawake wajasiriamali ujulikanao kama WEP yaliyofanyika tarehe 23 Aprili, 2024, Mjini Arusha : Mshindi wa pili Catherine Assenga (wa pili kulia), Zainab Nungu Mkuu wa Kitengo cha Mikopo, Exim Bank (wa kwanza kushoto),…

Read More

Pisi kali za ulingoni | Mwanaspoti

DUNIA imejaa warembo kibao wanaotwanga makonde kama Natasha Jonas, Amanda Serrano au yule Claresaa Shield na ukiwakuta nje ya ulingo katika mitoko yao mingine, katu huwezi kukubali kama hao ni kinadada wachapa vitasa. Haikuwa rahisi pia hata kwa Tanzania hasa kwa mabondia wa kike kuonekana katika upande wa pili wa urembo na fasheni ikiwachukua kwani…

Read More

WAZIRI MAVUNDE ATAKA KILA MMOJA KUFUATILIA HADHI YA MAOMBI AU LESENI ZAKE

Waziri wa Madini, Mhe.Anthony Mavunde,akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 24,2024 jijini Dodoma. …………… Waziri wa Madini, Mhe.Anthony Mavunde amebainisha kwamba Serikali kupitia Tume ya Madini imefuta jumla ya maombi ya leseni 227 ambayo yamekosa vigezo vya kuendelea kufanyiwa kazi. Ameyasema hayo leo tarehe 24 Aprili, 2024 Jijini Dodoma alipokuwa akizungumza katika mkutano na…

Read More

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametaja vipaumbele saba vya bajeti ya wizara yake ambavyo ni pamoja na kuendelea kutekeleza miradi ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme pamoja na kufikisha gridi ya Taifa katika mikoa iliyosalia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Pia kupeleka nishati vijijini, ikiwemo katika vitongoji;…

Read More