Yanga SC waingia Mkataba na ATCL, watanufaika hivi

Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania Yanga SC leo wameingia mkataba wa miaka miwili wa ushirika na shirika la ndege la Air Tanzania(ATCL). Katika ushirika huo Klabu ya Yanga italitangaza shirika hilo na watapata punguzo la bei kwa safari zao zote za ndege watakazofanya na shirika hilo.Mkataba huo wa Yanga na ATCL umesainiwa na Rais wao…

Read More

Ripoti: Ukatili dhidi ya wanaume waongezeka

Dar es Salaam. Katika kipindi ambacho dunia inapambana kukabiliana na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, matukio hayo yanachipukia na kuota mizizi dhidi ya wanaume. Kwa mujibu wa Ripoti ya Haki za Binadamu ya mwaka 2023, vitendo vya ukatili kwa wanaume vimeongezeka na kufikia asilimia 10, kutoka asilimia sita ya mwaka 2022. Ripoti…

Read More

Picha: GSM afika China kushuhudia maonesho ya Canton Fair 2024

Ikiwa Silent Ocean ltd ‘Simba wa Bahari’ kutangaza Good news ya kuwarahisishia wateja wao wote pindi wanapoingia nchini China kwaajili kufanya manunuzi ya bidhaa zao kwenye maonesho Makubwa ya Kimataifa ya Biashara Canton Fair 2024. Sasa hapa nimekusogezea picha mbalimbali zikionesha Watanzania waliopokelewa na Silent Ocean Ltd, pia zikiwemo za Mfanyabiashara na Rais kampuni ya…

Read More