Waandishi toeni taarifa sahihi juu ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura nchini
Kuelekea zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura nchini itakayo anza julai misi maka huy waaandishi wa habari wametakiwa kutumia majukwaa yao kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kuwa wapiga kura, Pamoja na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo ili waweze kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka. Akizungumza jijini Dar es…