MAOFISA USAFIRISHAJI(BODABODA )WAJISAJILI KWENYE KANZI DATA KWA USALAMA -RPC LUTUMO
Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi Mkoani Pwani kwa kushirikiana na Maofisa usafirishaji Wilaya ya Kibaha (bodaboda), limezindua zoezi la uvaaji viakisi mwanga katika ili kuwa rasmi na kuepuka kukumbwa na majanga mbalimbali ikiwemo kuporwa vyombo vyao vya moto. Akizungumza katika uzinduzi huo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ,Pius…