MAOFISA USAFIRISHAJI(BODABODA )WAJISAJILI KWENYE KANZI DATA KWA USALAMA -RPC LUTUMO

Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi Mkoani Pwani kwa kushirikiana na Maofisa usafirishaji Wilaya ya Kibaha (bodaboda), limezindua zoezi la uvaaji viakisi mwanga katika ili kuwa rasmi na kuepuka kukumbwa na majanga mbalimbali ikiwemo kuporwa vyombo vyao vya moto. Akizungumza katika uzinduzi huo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ,Pius…

Read More

Diarra ashtua Yanga, Maxi, Chama majanga

YANGA imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa siku za karibuni baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi zake huku Ligi ya Mabingwa Afrika ikiburuza mkia Kundi A baada ya kukusanya pointi moja ikishuka dimbani mara tatu. Watetezi hao wa Ligi Kuu Bara na washindi mara nyingi wa taji hilo walilobeba mara 30, ukiachana na matokeo ya…

Read More

NI ZAMU YA SONGWE KESHO SEPTEMBA 3, MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA KUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe NI zamu ya Songwe kesho Septemba 3,hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea kwani mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mikutano mikubwa ya kampeni mkoani Songwe. Msafara wa Rais Dk. Samia unatarajiwa kuwasili leo kisha kuhutubia maelfu ya wananchi wa katika mikutano yake ya kampeni itakayofanyika…

Read More

WMA YAELEZA FURSA ZA UWEKEZAJI KWA SEKTA BINAFSI

Veronica Simba na Paulus Oluochi – WMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla ametaja fursa kadhaa za uwekezaji unaoweza kufanywa na sekta binafsi katika tasnia ya vipimo nchini Tanzania. Kihulla ameeleza fursa hizo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga aliyetembelea Kituo cha Uhakiki wa…

Read More

WAZIRI MKENDA AVALIA NJUGA SAKATA LA MADEREVA KWENDA QATAR

Watu wanaowapeleka madereva kufanya kazi nje ya nchi wanawajibu wa kufanya utafiti kujua mahitaji ya eneo wanaloenda ni yapi tofauti na mahitaji ya magari ya Tanzania. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adolf Mkenda amesema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya Wizara hiyo katika miaka minne ya…

Read More

Mkoa wa Asia-Pacific unahamia katika siku zijazo za kushirikiana na ushirikiano wa kimataifa-maswala ya ulimwengu

Mfanyabiashara wa kike anaandaa mazao yake katika soko huko Hanoi, Viet Nam. Sekta isiyo rasmi ni muhimu kwa maisha ya watu zaidi ya bilioni 4 huko Asia na Pasifiki. Sera za kiuchumi zinapaswa kuorodheshwa ili kuwasaidia wakati wa kutokuwa na uhakika wa ulimwengu. Mikopo: Unsplash/Jack Young Maoni na Sudip Ranjan Basu (Bangkok, Thailand) Ijumaa, Mei…

Read More

JIWE LA SIKU: Kibu na mkataba wa mtego Simba

ZAMANI ilikuwa ngumu kumuona mchezaji kutoka Bongo anakwenda mapumziko nchi kama Marekani, Ufaransa, Dubai na nyingine ila kwa sasa linawezekana kwani Ligi ya Tanzania imeanza kulipa vizuri na wachezaji wanapata mikwanja ya kwenda huko kula bata katika kipindi cha mapumziko kama ilivyo kwa mastaa tofauti ulimwenguni. Unavyosoma hapa, staa wa Simba, Kibu Denis yupo zake…

Read More