MAHAFALI YA 47 YA BODI YA NBAA YAFANA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Jenifa Christian Omolo akisoma hotuba yake kwenye mahafali ya 47 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA). Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA. Prof. Sylvia S. Temu akizungumza kuhusu namna Bodi hiyo ilivyofanikisha kuongeza idadi…