Kwa nini Pro-Israeli, watetezi wa pro-peace wanashikilia kunyimwa mauaji ya kimbari-masuala ya ulimwengu

Afrika Kusini iliweka yakeKesi ikimtuhumu Israeli kwa kukiuka Mkutano wa Kimbariakielekeza hali hiyo katika eneo lililokuwa limepigwa na Gaza, nyumbani kwa Wapalestina milioni 2.3. Januari 2024. Mkopo: Umoja wa Mataifa. Maoni na Norman Solomon (San Francisco, USA) Alhamisi, Machi 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari San Francisco, USA, Mar 20 (IPS) – Shambulio jipya…

Read More

Abuni kifaa cha kuongeza usikivu cha bei nafuu

Dar es Salaam. Huenda watu wenye changamoto ya usikivu wakapata ahueni zaidi, baada ya mwalimu wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) kubuni kifaa kinachoweza kuwasaidia kusikia vizuri. Kubuniwa kwa kifaa hicho nchini, kutashusha gharama za ununuzi ambazo watu wenye changamoto hiyo walikuwa wakizipata katika kununua vifaa kutoka Sh 500,000 kwa kifaa cha sikio…

Read More

Nafasi ya Kuwa Bingwa Ipo Meridianbet Leo – Global Publishers

Kuwa bingwa ni rahisi sana ukiwa na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Arsenal, Villa, Fenerbahce na wengine kibao wapo kibao kuhakikisha hubaki patupu. Unangoja nini sasa kubashiri na mabingwa? Anza kusuka jamvi lako hapa ambapo Feyenoord Rotterdan ataumana vikali dhidi ya Fenerbahce Instanbulya kule Uturuki. Mwenyeji yeye anakipiga kule Uholanzi huku wakali wa ubashiri Meridianbet…

Read More

Camara, Ngoma nusura wazichape New Amaan

KATIKA hali isiyo ya kawaida, wachezaji wawili wa Simba, kipa Moussa Camara na kiungo mkabaji Fabrice Ngoma, walinaswa wakiwa katika mzozo mkali uliokaribia kugeuka ugomvi wa wazi, wakitaka kuzichapa mbele ya mashabiki kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Tukio hilo lilijiri muda mfupi kabla timu hazijaenda mapumziko, wakati Simba ikiwa inaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya…

Read More

Dada wa Raila Odinga afariki dunia

Dar es Salaam. Familia ya aliyekuwa kinara wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, hayati Raila Odinga imepata msiba mwingine baada ya dada wa kiongonzi huyo, Beryl Odinga, kufariki dunia.  Kwa kujibu wa vyombo vya habari vya Kenya ikiwemo Taifa Leo, kifo chake kimetangazwa na dada yao mdogo, Ruth Odinga, ambaye amesema Beryl…

Read More