VIDEO: RC Chacha apiga marufuku uuzaji majeneza nje ya hospitali

Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amemuagiza katibu tawala wa mkoa huo kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya wafanya biashara wa majeneza ili waondoe shughuli zao nje ya Hospitali ya Kitete. Amesema kuendelea kufanya biashara hiyo  maeneo hayo tena hadharani, kunatajwa kuongeza hofu kwa wagonjwa wanaopelekwa kupata matibabu pindi wayaonapo yamepangwa nje. Mkuu…

Read More

Ujenzi wa jengo la TBS Mwanza wafikia asilimia 47.7

Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Prof. Othman Chande imekagua mradi wa ujenzi wa jengo la maabara na ofisi za taasisi hiyo Kanda ya Ziwa unaotekelezwa eneo la Kiseke jijini Mwanza. Akizungumza Jumatano Agosti 20, 2025 baada ya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa jengo la ‘Viwango House’,…

Read More

Anayedaiwa kuuwa mtoto naye auawa na wananchi

Musoma. Mtoto Mariam Paye, mkazi wa Mtaa wa Zanzibar, Manispaa ya Musoma mkoani Mara, amefariki dunia baada ya kutumbukizwa kwenye shimo la choo na mtu anayedaiwa kuwa na tatizo la akili. Mtuhumiwa huyo naye amefariki dunia baadaye kutokana na kipigo alichopata kutoka kwa wananchi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Pius Lutumo, amethibitisha kutokea kwa…

Read More

Askofu ataja maajabu matano ya mwanamke

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Menonite Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Gabriel Magwega amesema wanawake wote wamepewa maajabu matano ya kiutawala yatakayoinua familia na Taifa au kuangusha, ikiwa hayatatumika ipasavyo. Kiongozi huyo wa kiroho ameyataja mambo hayo kuwa mwanamke amepewa talanta ya ulinzi wa vitu mbalimbali ambavyo ni mume, familia na Taifa,…

Read More

Waandishi 17 wa Mwananchi kuwania tuzo za Ejat

Dar es Salaam. Waandishi 17 wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ni miongoni mwa wateule 72 watakaowania tuzo za umahiri za uandishi wa Habari (Ejat) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Kati ya waandishi 72 watakaoshiriki kinyang’anyiro hicho Septemba 28, 2024 wanaume ni 45, sawa na asilimia 62.5 na wanawake ni 27 sawa…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC

Waziri Kassim Majaliwa Leo Juni 21, 2024 amekutana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na Katibu wa Kamati ya CPC Jimbo la Shanxi nchini China. Katika mazungumzo yao ambayo yamefanyika kwenye Ofisi ndogo za Waziri Mkuu, Magogoni Jijini Dar es Salaam, Mheshimiwa Majaliwa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu…

Read More

Suleiman Ikomba Rais mpya CWT, ambwaga bosi wake

Dodoma. Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimemaliza kimepata rais mpya, Suleiman Ikomba, aliyeibuka mshindi kwa kupata kura 608 dhidi ya kura 260 alizopata aliyekuwa rais wa awamu iliyopita, Leah Ulaya. Kura moja iliharibika, na kufanya jumla ya kura zilizopigwa kufikia 869. Uchaguzi huo umefanyika jana usiku na mshindi amepatikana leo asubuhi Juni 10, 2025, katika…

Read More

SHILINGI BILIONI 4.4 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA DKT SAMIA SULUHU HASSAN MKOANI RUVUMA

Serikali imetoa zaidi ya Sh.bilioni 4.4 kwa ajili ya kujenga shule ya Sekondari ya wasichana yenye michepuo ya masomo ya Sayansi wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Shule hiyo imepewa jina la Dkt Samia Suluhu Hassan,imepangiwa kuchukua wanafunzi 610 wakiwemo wa kidato cha kwanza(138)kidato cha tano(265) na wanafunzi wa kidato cha sita(210)kwa mwaka wa masomo 2024. Mkuu…

Read More