NCAA: TUTAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU MAPANGO YA AMBONI

Na Oscar Assenga, TANGA. MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kwamba inaendelea na mikakati ya kuboresha miundombinu ya Mapango ya Amboni yaliyopo Jijini Tanga ili yaendelee kuwavutia watalii wengi zaidi. Hayo yalibainishwa February 14 mwaka huu na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi anayesimamia Huduma za Utalii na Masoko NCAA Mariam Kobelo wakati wa kampeni…

Read More

Ishu ya Manula yagawa Simba SC, mashabiki wafunguka

SIMBA juzi ilifanya utambulisho wa kikosi kipya cha msimu wa 2024-2025 kwenye kilele cha tamasha la Simba Day, lakini kuna kitu kilijitokeza na kuzua sintofahamu, baada ya kipa namba moja wa timu hiyo, Aishi Manula kutotambulishwa rasmi kama ilivyozoeleka na kutajwa baadaye sana baada ya zoezi la upigaji wa picha. Hata hivyo, Ofisa Habari wa…

Read More