Vigogo Championship wahamishia nguvu FA

BAADA ya kushuhudia Mbeya City ikiwa timu ya kwanza ya Championship kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), miamba wengine watatu waliobaki katika mashindano hayo watashuka kwenye viwanja mbalimbali kusaka pia tiketi hiyo. Stand United iliyoichapa Fountain Gate kwa penalti 4-3, baada ya sare ya 1-1, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage mjini…

Read More

Maafisa Korea Kusini wajaribu kumkamata Rais Yoon

  MAOFISA wa usalama nchini Korea Kusini, wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol. Anaripoti Sylvia Mwehonzi wa DW…(endelea). Maofisa hao wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol, wakati wafuasi wake wakiendelea kupiga kambi nje…

Read More

TRC ilivyobeba abiria ‘kiduchu’ Dar, kuboresha huduma

Moshi. Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeshindwa kufikia malengo ya mkakati wake wa miaka mitano (2019/2020-2023/2024) wa kubeba abiria milioni 10 katika utoaji wa usafiri jijini Dar es Salaam, na kuishia kubeba asilimia 28 tu ya lengo. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere katika ripoti Kuu ya…

Read More

Je, India Inamaliza Mafuta ya Kisukuku Haraka ya Kutosha Kufikia Malengo Yake ya Utoaji? – Masuala ya Ulimwenguni

Mitambo ya upepo inayoangazia Vyas Chhatri, usanifu wa jadi wa wilaya ya Jasalmer huko Rajasthan. Mkopo: Athar Parvaiz/IPS na Athar Parvaiz (delhi mpya) Jumatatu, Novemba 04, 2024 Inter Press Service NEW DELHI, Nov 04 (IPS) – Wakati India inaendelea kutegemea zaidi makaa ya mawe, nchi kubwa ya kiuchumi ya Asia Kusini pia inasukuma kwa nguvu…

Read More

Wanajiosayansi nguzo muhimu kufanikisha Vision 2030

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Ndugu Msafiri Mbibo amesema kuwa wanajiosayansi ni nguzo muhimu katika kufanikisha dhana ya Vision 2030: Madini ni Maisha na Utajiri. Mbibo ameyasema hayo Desemba 04, 2024 Jijini Tanga wakati akifungua Mkutano wa Mwaka wa Wanajiosayansi kwa niaba ya Waziri wa Madini. Ndugu Mbibo amesema kuwa Wizara ya Madini inatambua…

Read More

ACT Wazalendo ilivyojipanga kuvuna wanachama wapya

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuwa kilianzishwa kama chombo mbadala kwa wanamageuzi, hivyo kipo tayari kumpokea mwanasiasa yeyote atakayetaka kujiunga nacho. Sio kuwapokea tu, kimesema hata watakaotaka kugombea, watapewa nafasi kama wanachama wengine na kupitia michakato ya kikatiba ndani ya chama hicho. Sambamba na hilo, ACT Wazalendo imeongeza muda kwa wanachama wake…

Read More

Arajiga pilato wa Simba, Singida FA

Refa Ahmed Arajiga ndiye atashika filimbi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baina ya Simba na Singida Black Stars itakayochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati kuanzia saa 9:30 alasiri. Huo ni mchezo wa pili kwa Arajiga kuichezesha Simba msimu huu, wa kwanza ukiwa ni wa mzunguko wa pili wa…

Read More

Wakulima walalamikia mizani feki zao la pamba

Shinyanga. Baadhi ya wakulima wa zao la pamba mkoani Shinyanga wametoa sababu inayowazuia kusajili biashara zao katika mfumo wa ununuzi na uuzaji ni matumizi ya mizani feki kwa wanunuzi ambayo inawasababishia hasara. Hayo yamebainishwa leo Mei 29, 2025 katika mkutano wa wakulima wa zao la pamba, kampuni ya ununuzi, pamoja na vyama vya ushirika wa…

Read More