Watahadharishwa kuhusu mikopo kausha damu

Na Mwandishi wetu, Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, Kanali Isack Mwakisu amewataka wananchi kukopa kwenye taasisi za fedha zilizosajiliwa na kutambulika kwa kuwa itasaidia kutatua changamoto zinazoweza kujitokeza kwa mkopaji kwa kuwa taasisi hizo zinaendeshwa kwa mujibu wa Sheria. Kanalı Mwakisu alitoa rai hiyo baada ya kukutana na wataalam wa Wizara ya…

Read More

MAGWIJI WA TIBA RADIOLOJIA DUNIANI WAKUTANA MUHIMBILI KUJADILI MBINU ZA KUONGEZA WIGO WA HUDUMA HIYO NCHINI

Magwiji wa tiba radiolojia duniani ambao hutumia vifaa kama vile CT-Scan, MRI, Xray, Angiography system, Utrasound n.k kufanya uchunguzi na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia matundu madogo, mapema wiki hii wamekutana Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kutathmini hali ya utoaji huduma hiyo nchini na kujadili mbinu za kuongeza wigo wa huduma hiyo kuanzia ngazi ya hospitali…

Read More

NISHATI SAFI YA KUPIKIA AJENDA YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Meneja Usaidizi wa Kiufundi kwa Waendelezaji Miradi REA, Mhandisi Emanuel Yesaya (mwenye kapelo) akielezea ufanisi wa majiko ya umeme Jijini Dar es Salaam kwa Mshiriki wa Kongamano la 10 la Jotoardhi (ARGeo-10), Edward Ishengoma kutoka kampuni ya EnergyCARDS ya Dar es Salaam. Wengine katika picha ni wasambazaji wa bidhaa za Nishati Safi za Kupikia kutoka…

Read More

Viongozi wa Ulimwenguni huangazia Vijana kama Wakala wa Maendeleo – Maswala ya Ulimwenguni

Annalena Baerbock, Rais wa Mkutano Mkuu na moja ya Vijana wachanga kushikilia ofisialisisitiza hiyo Vijana ni “wabuni wa maisha yao ya baadaye” lakini haipaswi kuijenga peke yake. Akichora mazungumzo na viongozi wachanga kutoka Ethiopia kwenda Afghanistan, alionyesha changamoto za uso wa vijana wa leo – kutoka kwa migogoro na shida hadi kwa ujasusi na ukosefu…

Read More

Umri ajira za Tawa zawavuruga wabunge, wataka uondolewe

Dodoma. Kigezo cha umri usiozidi miaka 25 kwenye tangazo la ajira la Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania (Tawa), limeombewa jambo la dharura bungeni na wabunge ambao wameishauri Serikali waondoe kigezo cha umri. Jambo hilo limeletwa bungeni leo Jumatatu Septemba 2, 2024 na mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ng’wasi Kamani akitumia kanuni ya 54 kulitaka Bunge…

Read More

Simulizi ya kijana mwenye ulemavu anayepambana na maisha kupitia Sanaa

Handeni. Ulemavu haujamzuia kijana huyu kuzifikia ndoto zake. Kwake, umeibua fursa mpya za kumwezesha kuendesha maisha yake bila kumtegemea mtu, tofauti na baadhi ya wengine wenye changamoto kama zake wanaoomba msaada barabarani. Athuman Mhina (24), mkazi wa Handeni, mkoani Tanga, amejijengea umaarufu kupitia kipaji chake cha sanaa, hasa kucheza, ambapo amekuwa kivutio kwenye shughuli mbalimbali…

Read More

WAHADHIRI NELSON MANDELA WATUNIKIWA VYETI KWA KUCHAPISHA TAFITI ZA KIMATAIFA

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa (kushoto) mara baada ya kumkabidhi cheti Mhadhiri kutoka Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Emmanuel Mpolya (kulia) ambaye ni miongoni mwa Wahadhiri waliopata tuzo kwa kuchapisha tafiti katika majarida yenye hadhi ya kimataifa. …….. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewapongeza…

Read More

MKURUGENZI WA BENKI YA CRDB ATEMBELEA BANDA LA SERENGETI BREWERIES LIMITED – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela na maafisa waandamizi wa benki hiyo walipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini.Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma SBL, John Wanyancha akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More

Mbowe kuja na mapendekezo mapya ya uongozi Chadema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema iwapo atafanikiwa kushinda uongozi wa juu wa chama hicho, atapeleka mapendekezo kwenye mkutano mkuu ili uchaguzi wa ndani uwe unafanyika kila baada ya miaka mitatu badala ya mitano. Mbowe, anayetetea nafasi hiyo aliyoiongoza kwa miaka 21, amesema hatua hiyo itakifanya chama hicho kujiandaa kwa uchaguzi wa…

Read More