Mbulu yatumia Sh204 bilioni kwa maendeleo

Mbulu. Wilaya ya Mbulu imetumia Sh204 bilioni kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya elimu, afya na maji, katika kipindi cha miaka minne ya utawala wa Serikali ya awamu ya sita. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Michael Semindu, ameyasema hayo leo Aprili 5, 2025 wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi…

Read More

Teknolojia inavyoibua ukatili mpya wa kidijitali

Iringa. Pamoja na manufaa makubwa yanayoletwa na maendeleo ya teknolojia, changamoto mpya za ukatili wa kijinsia zimeendelea kuibuka na kuathiri wananchi katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yamebainishwa na wadau wa masuala ya jinsia wakiwemo wa kutoka Shirika la Norwegian Church Aid (NCA) kwenye mikutano ya uhamasishaji iliyofanyika katika kijiji cha Lugalo, wilaya ya Kilolo, mkoani…

Read More

TANFOAM MARATHON ZAFANA ARUSHA – MICHUZI BLOG

Na Pamela Mollel,Arusha Riadha za TanFOAM Arusha zimetajwa kuwa kivutio kikubwa hususani kwa wakazi na Wageni mbalimbali waliopo katika jiji la Arusha Pia mbio hizo zinatajwa kuwa za kipekee kutokana na ubora wa maandalizi mazuri zikiwemo zawadi nono kwa washindi ambazo ni fedha pamoja na magodoro Aidha katika mbio hizo wanariadhaJoseph Panga na Hamoida Nassoro…

Read More

Askofu Rweyongeza atema nyongo kwenye jubilei

Mwanza. Kanisa Katoliki limeitaka Serikali kuheshimu fani  ya ualimu na kurejesha hadhi yake ikiwamo walimu kulipwa mshahara unaolingana na wabunge na mawaziri au zaidi pamoja na kuwaondolea kikokotoo. Akizungumza leo Jumatano Machi 19, 2025 kwenye Jubilei ya miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Methodius Kilaini na miaka 53 ya upadri iliyofanyika Bukoba mkoani Kagera, Askofu …

Read More

LHRC yamtaka Rais Samia ajitokeze sakata la msichana aliyebakwa

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani kitendo cha kikatili na unyanyasaji wa kijinsia kilichoripotiwa kinachomuhusu msichana (jina halijafahamika), mkazi wa Yombo Dovya, Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam. Pia kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutoka hadharani na kuonyesha kuchukizwa na tukio hilo la udhalilishaji na ukatili. Msichana…

Read More

Ken Gold kuzipeleka Simba, Yanga Chunya

‘Tanzania tunaitaka Chunya’. Ni kauli ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbarack Batenga akielezea Ken Gold kutumia Uwanja wa Chunya kwa ajili ya mechi zao za nyumbani Ligi Kuu msimu ujao. Uwanja huo ambao ulitumika katika michuano maalumu ya Mbeya Pre Season, una uwezo wa kubeba watazamaji 20,000 ambao kwa sasa unaendelea na ujenzi na…

Read More

Mgombea urais Hamad aahidi kusaidia wanawake kupata waume

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza atatekeleza mpango wa kusaidia wanawake wasioolewa kupata waume. Pia, ameahidi ndani ya kipindi hicho za siku 100 atatekeleza mpango wa kuwatafutia wenza watu wenye ulemavu ambao hawajaoa wala kuolewa….

Read More