WANANCHI WA LIWETA NA MASUKU MKOANI RUVUMA, WAISHUKURU TARURA KUKAMILISHA UJENZI WA DARAJA

Na Mwandishi Maalum,Ruvuma WANANCHI wa kijiji cha Liweta Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma,wameishukuru Wakala wa barabara za vijijini na mijini(TARURA)kwa kuwajengea daraja la kudumu katika mto Liweta linalounganisha kijiji hicho na Masuku na maeneo yao ya kilimo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti walisema,awali walikuwa wakipata shida kubwa kupitia katika eneo hilo hasa wakati wa masika…

Read More

UDSM and Oslo University Develop a Solution for Ethical Dilemmas in Healthcare Delivery in Tanzania

By Our Correspondent In Tanzania’s healthcare system, healthcare providers often face numerous ethical challenges when making decisions about treating patients. These challenges, which frequently lead to dilemmas, can sometimes result in patient deaths, particularly when patients refuse treatment. To address this issue, the University of Dar es Salaam, through its Department of Philosophy and Religious…

Read More

Mohamed Baresi aanza mikwara Ligi Kuu

MASHUJAA juzi jioni ilikuwa uwanjani mjini Kigoma na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamba Jiji, huku kocha wa timu hiyo Mohamed Abdallah ‘Baresi’, akianza mikwara wakati akijiandaa kuikabili Yanga keshokutwa Jumapili mjini humo. Mashujaa ilikuwa imecheza mechi nane mfululizo bila kuonja ushindi kwani mara ya mwisho iliifunga Namungo kwa bao 1-0  Novemba 23…

Read More

Museveni aahidi mabilioni kwa nyota wa Uganda CHAN

Wakati timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ ikianza kupeperusha bendera ya taifa hilo kwenye Fainali za Chan 2024 dhidi ya Algeria, Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni ametoa ahadi nono ya fedha kwa timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Uganda (Fufa) leo, imeeleza kuwa The Cranes itavuna Sh1.2 bilioni kwa…

Read More

Rais Samia ataka falsafa ya 4R itumike sekta ya ushirika

*Aagiza maofisa ugani wapimwe kwa utendaji Na Nora Damian, Mtanzania Digital Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza maofisa ugani wapimwe kwa utendaji wao huku pia akitaka falsafa ya kujenga upya, maridhiano, ustahimilivu na mabadiliko (4R) itumike kukuza sekta ya ushirika nchini. Amesema mwelekeo wa serikali ni kujenga uchumi jumuishi unaochechea maendeleo vijijini na kuongeza kasi ya…

Read More

Mvua yatishia uwepo wa Ligi Kuu

Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali hapa nchini, zimeonekana kutishia kutibua ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Bara. Jumanne wiki hii, ilishuhudiwa mchezo baina ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga ukiahirishwa muda mfupi kabla ya kuanza kutokana na hali ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kutokuwa nzuri. Uwanja huo uliopo Mbweni, Dar es Salaam, ulijaa…

Read More