Mbunge kujenga ofisi za CCM za Sh150 milioni

Bukoba. Mbunge wa Bukoba Vijijini (CCM), Jasson Rweikiza amejitolea kujenga ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Bukoba Vijijini kwa gharama ya Sh150 milioni. Taarifa ya ujenzi wa ofisi hizo zilizopatikana wilayani humo, zimethibitishwa na mbunge huyo leo Aprili 21, 2024 wakati akizungumza na Mwananchi Digital kuhusu maendeleo ya mradi huo na ulipofikia hadi sasa. “Ni…

Read More

Gardner wa Clouds kuagwa kesho Dar, kuzikwa Jumanne Rombo

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa kituo cha redio cha Clouds FM, Gardner Habash utaagwa kesho jijini Dar es Salaam na kuzikwa Jumanne Aprili 23, 2024 mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Kampuni ya Clouds Media Group, mwili huo atazikwa kijijini kwao Kikelelwa, kata ya Tarakea, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro. Gardner…

Read More

Walioachwa Simba watwaa ubingwa | Mwanaspoti

TIMU ya APR imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Rwanda 2023/24 bila ya kupoteza mchezo huku kikosini kwake ikiwa na mastaa wawili walioachwa na Simba ya Tanzania ambayo jana ilifungwa mabao 2-1 na Yanga katika Kariakoo Dabi. APR imetwaa taji hilo kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuifunga Kiyovu Sports bao 1-0, katika mechi…

Read More

MTU WA MPIRA: Dube mtihani mwingine huu

KUNA vitu vinakera sana. Kuna vitu vinakwaza mno. Unajiuliza mpaka sasa katika dunia ya leo bado tunaishi katika zama za kale. Ni kama hili tukio la straika wa Azam FC, Prince Dube. Ni jambo la kijinga kulizungumza katika soka la kisasa. Dube amekimbia kambini pale Azam FC baada ya kutoa barua ya kuomba kuvunjiwa mkataba…

Read More

Mtoko wa KenGold twenzetu Ligi Kuu Bara

WAKATI Ken Gold ikishuka uwanjani leo Jumapili dhidi ya FGA Talents, Jiji la Mbeya litasimama kwa muda kushangilia historia ya mafanikio kwa timu hiyo kupanda Ligi Kuu. Hii ni baada ya kudumu misimu minne mfululizo wakiisaka ladha ya Ligi Kuu bila mafanikio, lakini hatimaye ndoto imetimia ambapo wadau na mashabiki wa soka itakuwa ni furaha…

Read More

Eti tusiwachape watoto wakikosea, tuwafanyeje?

Dar es Salaam. Mwaka jana nilipata bahati ya kutembelea sehemu zaidi ya tatu ambazo wazazi na walezi hawaruhusiwi kupiga watoto wao viboko. Na ninaposema hawaruhusiwi namaanisha hawaruhusiwi kwelikweli, sio ile ya tangazo tu, kwamba inakuja serikali au uongozi unatangaza kuwa hauruhisiwi kumchapa viboko mtoto, kisha wakimaliza kutangaza na kuondoka huku nyuma wazazi wanaweza kuendelea kuwacharaza…

Read More

Madhara kuyapa kisogo malezi ya mtoto wa kiume

Dar es Salaam. Uwezeshwaji katika nyanja na fursa mbalimbali kwa watoto wa kike umeshuhudiwa kwa kiasi kikubwa katika zama hizi ambapo kuna namna mtoto wa kiume anasahaulika, wadau mbalimbali wameibuka wakitaja athari zake, huku wakitaka mtoto wa kiume pia akumbukwe na kuwekewa nguvu kama ilivyo kwa mtoto wa kike. Hata hivyo, katika maisha, hususan Afrika…

Read More

Watu 50 pekee kushiriki mazishi ya CDF Ogolla

Kenya. Watu 50 pekee watashiriki kumzika aliyekuwa Mkuu wa majeshi ya Kenya, Jenerali Francis Ogolla, tovuti ya Nation nchini humo imeripoti. Miongoni mwa watu hao atakuwemo Rais wa Kenya, William Ruto, maofisa wa ngazi za juu wa jeshi, maofisa waandamizi wa Serikali na wanafamilia. Hata, hivyo mazishi hayo yameibua gumzo kutokana na kuwa si kawaida…

Read More