Wasimulia mauaji ya Penina wa Goba

Dar es Salaam. Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Penina Methody (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa ni panga, chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hilo linalodaiwa kufanywa na mtu anayedaiwa ni mpenzi wake limetokea jana Alhamisi, Mei 23, 2024 Goba Centre, Wilaya ya Kinondoni anapofanyia biashara zake Penina. Kamanda…

Read More

Banka aukubali mziki wa Kagoma

KIUNGO wa zamani wa Simba na Yanga, Mohammed Banka amesema anakoshwa na uchezaji wa kiungo mkabaji wa Simba, Yusuf Kagoma anayekaba mtu na mtu jambo ambalo ni gumu kwa wapinzani kupenya eneo analolicheza. Banka alikuwa anacheza kiungo namba sita kama Kagoma jambo linalomshawishi kumfuatilia zaidi aina ya ukabaji wake na kutuliza presha eneo la kati….

Read More

RC Malima aagiza madiwani Gairo kununuliwa vishikwambi

Morogoro. Katika kuhakikisha utendaji unakwenda kwa kasi ya sayansi na teknolojia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya Gairo, Sharifa Yusuph kuwanunulia madiwani wote vishikwambi. Malima amesema lengo la vishikwambi hivyo ni  kupunguza gharama za matumizi ya karatasi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwenye halmashauri hiyo. Malima ameyasema hayo…

Read More

NAIBU WAZIRI SILINDE ATOA TAMKO WENYE MADENI YA CHAI

NAIBU Waziri wa Kilimo, David Silinde ameagiza wamiliki wa viwanda mbalimbali nchini vya chai kuhakikisha wanalipa madeni ya wakulima wa chai na Bodi ya Chai Tanzania itoe ripoti serikalini namna ambavyo malipo hayo yatafanyika ifikapo Juni mwaka huu. Silinde pia amesema wizara hiyo inataka inajenga viwanda saba vipya vya chai nchini kwa lengo la kuondoa…

Read More

Rais Samia kuhutubia Taifa kupitia wazee wa Dar kesho

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kesho Jumanne, Desemba 2, 2025, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazungumza na wazee wa mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, ofisini kwake, Chalamila amesema mazungumzo hayo yataanza saa 5 asubuhi katika ukumbi wa mikutano ya Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam….

Read More

TMA hesabu kali pointi 12 Championship

KOCHA Mkuu wa TMA FC, Mohamed Ismail ‘Laizer’, amesema mkakati uliopo kwa sasa ni kupata pointi 12, katika michezo minne iliyobaki kumalizia msimu huu, licha ya kukiri changamoto kubwa itakuwa ni kupambana na wapinzani wao wakicheza ugenini. Katika michezo minne iliyobaki ya kumaliza msimu kwa kikosi hicho, itakuwa na miwili nyumbani ambayo ni dhidi ya…

Read More

TANZANA – UKRAINE KUONGEZA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Ukraine zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo, biashara na uwekezaji, viwanda, utalii, elimu na afya kwa maslahi ya pande zote mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa kwenye mazungumzo baina ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud…

Read More

Musa Mbisa hataki tena presha Ligi Kuu

KIPA wa Tanzania Prisons, Musa Mbisa amesema presha waliyokutana nayo msimu ulioisha hivi karibuni, hawatarajii kujirudia msimu ujao, akiiweka mtegoni timu hiyo juu ya hatma yake. Timu hiyo ambayo ilisubiri hadi mchezo wa mwisho wa play off dhidi ya Fountain Gate, imekuwa na matokeo yasiyoridhisha kwa misimu kadhaa kukumbwa na presha ya kukwepa kushuka daraja….

Read More