Yanga yatoa msimamo yawageukia kina Magoma, TFF, Rita zafunguka

MASHABIKI wa Yanga hadi sasa bado hawaelewi kinachoendelea klabuni kwao, baada ya tangu juzi usiku kuenea kwa taarifa kwamba uongozi wa klabu hiyo hautambuliwi kisheria kutokana na hukumu ya kesi iliyofunguliwa na baadhi ya wanachama kupinga katiba iliyowaingiza madarakani. Hata hivyo, sakata hilo la wanachama hao kuipinga katiba ya mwaka 2010 inayolikataa Baraza la Wadhamini…

Read More

WAKAZI WA KIJIJI CHA MTERAWAMWAHI WILAYA YA NAMTUMBO KUPATA MAJI YA UHAKIKA NI BAADA YA RUWASA KUCHIMBA KISIMA KIREFU CHA MAJI

WAKAZI zaidi 6,000 wa vijiji vya Kilimasera,Ukiwayuyu,Mtakanini,Mterawamwahi na Matependwe Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma,wanatarajiwa kuondokana na kero ya muda mrefu ya huduma ya maji safi na salama. Ni baada ya Serikali kuipatia Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) Wilaya ya Namtumbo Sh.milioni 300,000 kwa ajili ya kutekeleza programu ya uchimbaji wa…

Read More

Yanga kubadili upepo CAF, mashabiki mjiandae

KAMA wewe ni shabiki wa Yanga ambaye popote ilipo timu hiyo nawe unakuwepo, basi anza kujipanga mapema kwani kuna mabadiliko ambayo yataifanya klabu hiyo kuendana na baraka za Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuelekea mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE ya Ethiopia. Yanga ni moja kati ya timu…

Read More

Sahara Sparks 2024 kicks off with thought leadership dialogue on skill development in the digital age

  The most anticipated thought leadership experiential event of the year, Sahara Sparks has kicked off today (September 23rd) with thought leadership panel discussions and dialogue on strategic areas of skills development and the potential of leveraging innovation and technology to ultimately build an acquainted workforce with potential to thrive in the ever-evolving digital age,…

Read More

‘Raia waliuawa, wengine walikatwa kichwa’ – maswala ya ulimwengu

Ripoti za wakala Kwamba karibu 100,000 wamehamishwa hivi karibuni katika wiki mbili zilizopita pekee, kufuatia shambulio lililozidi kuongezeka kwa vijiji na spillover ya haraka ya vurugu katika wilaya salama za hapo awali. Akiongea kutoka kwa erati iliyojaa migogoro kaskazini mwa Msumbiji, Xavier Creach alionyesha wasiwasi juu ya mashambulio na kutoweza kujibu vya kutosha. “Mashambulio haya…

Read More