Haya hapa malezi yanayomjenga mtoto kihisia
Dodoma. Daniel Goleman, mwandishi wa kitabu cha Emotional Intelligence, aliwahi kusema, “Usipomsaidia mtoto kujenga umahiri wa kuelewa na kumudu hisia zake, unamwandaa kuwa mtu atakayepata shida kwenye uhusiano wake na watu. Malezi, kwa msingi huo, yanalenga kushughulika na hisia za mtoto.” Hapa ninakuletea njia tano za kujenga umahiri wa mtoto kumudu hisia zake. Wapo watoto…
Makocha Yanga waipa ujanja Simba
INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayopigwa nchini wikiendi hii. Vijana wa Fadlu Davids wanahitaji ushindi wa mabao 3-0 ili…
Rungwe atoa msimamo Chaumma kuchukua dola uchaguzi mkuu Oktoba
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa amewahakikishia wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho kwamba wanakwenda kuchukua dola katika Uchaguzi Mkuu utakaofayia Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Rungwe amesema hayo leo Alhamisi, Agosti 7, 2025 wakati anafungua mkutano mkuu huo unaoendelea katika ukumbi wa…
RC Morogoro awapongeza wauguzi kwa utendaji kazi
Katibu tawala mkoa wa Morogoro Dokta Mussa Ally Mussa amesema licha ya kukumbana na Changamoto mbalimbali lakini wamekua wakitoa huduma Bora Kwa wagonjwa ambapo amewataka kuepukana na vitendo viovu vinavyoweza kuwaharibika kazi ikiwemo rushwa ,dharau na ligha mbaya. Dokta Mussa ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani ambapo kwa Mkoa Morogoro yamefanyika Morogoro…
Israel ikomeshe mateso kwa Wapalestina Gaza – DW – 18.07.2024
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Israel kuachana na vitendo vya kuwaweka gerezani Wapalestina kwa muda usiojulikana na bila kufunguliwa mashtaka. Amnesty imeongeza kuwa mamlaka za Israel zinatakiwa kukomesha kile walichokiita “mateso yaliyokithiri” katika magereza hayo na kusisitiza kuwa vitendo vyote hivyo ni ukiukaji wa wazi wa sheria za…
Serikali, wajumbe Tume ya Chande wapewa siku saba kuwasilisha utetezi
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeipa Serikali na wajumbe wa Tume ya Rais ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025, wanakabiliwa na shauri mahakamani kuwasilisha utetezi wao. Pia, mahakama hiyo imewataka waombaji katika shauri hilo la maombi ya kibali cha kupinga…
Mtanzania Gabriel Geay akiri kukutana na ugumu Amsterdam Marathon
Mwanariadha wa Kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay amerejea nchini akitokea Uholanzi alikokwenda kushiriki mashindano ya TCS Amsterdam Marathon 2025, ambapo amekiri kukutana na ugumu. Mbio hizo zilifanyika Oktoba 19, 2025 ambapo Geay alimaliza wa nne kwa muda wa saa 2:04:36, huku Mkenya Geoffrey Toroitich Kipchumba akiibuka mshindi wa kwanza baada ya kukimbia saa 2:03:30 na…
Mshindi Avuna Shilingi Milioni 20 Kwenye Kampeni ya “NI BALAA!” Kutoka Vodacom Tanzania – MWANAHARAKATI MZALENDO
Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi! Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania Plc, George Venanty (kushoto),akimkabidhi mfano wa hundi ya TZS 20,000,000/- mshindi wa kwanza wa kipengele kikuu wa droo ya kampeni ya ‘Ni Balaa!’, Bankason Yusuph wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali, iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2024, jijini Arusha.Kampeni…
Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 27, 2024
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.