Mikoa sita kupata mvua na ngurumo za radi kwa siku 10

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetaja mikoa sita itakayoshuhudia vipindi vya mvua na ngurumo za radi kwa siku 10. Hali hiyo iliyoanza kushuhudiwa kuanzia jana Agosti 11, 2025, itadumu hadi Agosti 20, 2025. Mikoa inayotarajiwa kukumbana na hali hiyo ni Kagera, Geita, Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara. Kuhusu hali ya…

Read More

Jamhuri kujibu pingamizi lingine la Lissu leo

Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema)Tundu Lissu, itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam. Kesi hiyo inayosikilizwa na jopo la majaji watatu, Dunstan Ndunguru (kiongozi wa jopo) James Karayemaha na Ferdnand Kiwonde, itaendelea leo Septemba 18, 2025 kwa upande wa Jamhuri kujibu hoja…

Read More

RAIS SAMIA AMEELEKEZA RASILIMALI ZINAZOCHIMBWA NCHINI ZIWANUFAISHE WATANZANIA – DKT. BITEKO

📌 Asisitiza Ushuru wa Huduma Kutatua Changamoto za Wananchi 📌 Uchimbaji wa Gesi Asili Kuchochea Uchumi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania kunufaika na rasilimali zinazochimbwa katika maeneo yao kwa kutoa fursa mbalimbali ikiwemo ajira. Hayo yameelezwa…

Read More

Ahukumiwa miaka mitano jela kwa jaribio kuua

Geita. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Matokeo Petro (34), mkazi wa Bukombe mkoani Geita baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la jaribio la kutaka kumuua Josephat Mhozi (51). Hukumu hiyo imetolewa leo Oktoba 2, 2024 na Jaji wa Mahakama hiyo, Athuman Matuma baada ya kuridhishwa na hoja zilizotolewa…

Read More

PROFESA MKUMBO:ILANI ZA VYAMA VYA SIASA VIZINGATIE DIRA 2050

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo ametoa rai kwa vyama vya siasa nchini kuzingatia Dira 2050 wanapotoa Ilani zao. Akizungumza leo Julai 8,2025 jijini Dar es Salaam mbele ya wahariri na waandishi wa habari ,Profesa Mkumbo amesema kuwa mchakato wa Dira 2050 imehusisha watanzania wa makundi mbalimbali…

Read More

Morocco aita mashabiki Kwa Mkapa

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Mkapa, kesho Jumamosi wakati timu hiyo itakapokuwa inamalizia mechi za Kundi B dhidi ya Afrika ya Kati, huku akiahidi kuwapa raha kama alivyofanya. Stars inakamilisha ratiba kwa kuvaana na vibonde hao wa kundi hilo, kwani…

Read More