Yule kocha wa Yanga mambo yamemchachia

LICHA ya rekodi tamu aliyoiandika akiwa na Yanga kwa kuipa mataji matatu kwa mpigo, ikiwamo kuifumua Simba kwa mabao 2-0 katika pambano la Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25 na kuwafanya vijana wa Jangwani kutetea taji kwa msimu wa nne mfululizo, hali si shwari kwa kocha Miloud Hamdi. Hamdi aliyeipa Yanga Kombe la Muungano 2025,…

Read More

CCM yataka Kituo cha Afya Mwamapalala kianze huduma Juni

Itilima. Wakati Katibu Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi akitaka Kituo cha Afya Mwamapalala kuanza kutoa huduma Juni mwaka huu, wananchi wameeleza namna kitakavyowapunguzia adha ya kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 30 kufuata huduma za afya. Wamesema kukamilika kwake itakuwa ni mkombozi kwa wagonjwa hasa wajawazito na wazee ambao…

Read More

Aliyekataa bao, aliyefunga wafungiwa | Mwanaspoti

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imetoa adhabu kwa klabu, wachezaji na waamuzi kufuatia matukio yaliyojitokeza katika michezo mbalimbali  ikiwemo Dabi ya Kariakoo iliyopigwa wikiendi iliyopita, Zanzibar. Katika uamuzi huo uliotangazwa Machi 6, 2026, Simba imeadhibiwa kwa makosa yaliyotokea katika michezo tofauti ya Ligi Kuu Bara. Katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji, Simba imetozwa faini…

Read More

Dk Chaya aahidi maboresho ya miundombinu akizisaka kura

Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Manyoni, Dk Pius Chaya (CCM) amewaahidi wananchi endapo atachaguliwa kwa mara nyingine, anakwenda kuongeza kasi ya kufungua barabara jimboni humo. Dk Chaya alitoa ahadi hiyo jana Jumatano Septemba 17,2025 katika vijiji vya Kata ya Isseke wilayani Manyoni. Mgombea huyo ameitaja barabara ya Mangoli -Igwamadete, Iseke -Ipanduka hadi Ntumbi, Simbanguru-Mafurungu…

Read More

Kwa nini bei siyo kipimo cha ubora wa bidhaa

Dar es Salaam. Kwa miaka mingi kumejengeka dhana miongoni mwa Watanzania kuwa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya kifahari ni halisi (original), huku zile zinazopatikana kwenye masoko ya kawaida yenye msongamano ni feki. Si hivyo tu, wapo wanaoamini bidhaa ikiwa ghali ndiyo halisi. Lakini je, bei ndiyo kipimo cha ubora? Mtazamo huo kwa muda mrefu umeathiri…

Read More

Ulaji wadudu unavyopata umaarufu | Mwananchi

Dar es Salaam.  Katika dunia inayokabiliwa na changamoto za uhaba wa chakula na lishe duni, wataalamu wa afya na lishe wameendelea kuangazia ulaji wa wadudu kama suluhisho mbadala lenye manufaa makubwa kiafya.  Ingawa kwa baadhi ya jamii ulaji wa wadudu bado huonekana kuwa jambo geni, ukweli ni kwamba kwa muda mrefu wadudu wamekuwa sehemu ya…

Read More

Kaya 1,800 zapewa miche ya miti ya matunda, kokoa bure

Kilombero. Jumla ya kaya 1,800 kutoka vijiji viwili vya Kata ya Mofu, wilayani Kilombero, zinatarajiwa kunufaika kiuchumi na kijamii baada ya kupatiwa miche ya bure ya matunda na kokoa kupitia Mradi wa Mazingira Plus, unaoratibiwa na Taasisi ya Mofu Rothenburg. Hatua hiyo inalenga kusaidia juhudi za kuhifadhi mazingira sambamba na kuinua kipato cha wananchi wa…

Read More

Wapinzani wa JKT Queens Cecafa kujulikana

DROO ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Masharikia na Kati (Cecafa) inatarajiwa kuchezeshwa leo Nairobi, Kenya ambapo wapinzani wa wawakilishi wa Tanzania, JKT Queens, watafahamika. Ratiba inaonyesha michuano hiyo itaanza kuchezwa kati ya Septemba 4-16 kwenye viwanja vya Nyayo na Ulinzi Complex nchini humo. Kwa mujibu wa meneja wa…

Read More