BARABARA ZOTE ZINAZOSIMAMIWA NA TANROADS ZILIZOATHIRIWA NA MVUA ZA EL-NINO ZINAFUNGULIWA KWA WAKATI-WAZIRI BASHUNGWA

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kupitia kitengo cha dharura imekuwa ikirudisha mawasiliano kwenye maeneo ambayo mawasiliano yamekatika kutokana na uharibifu….

Read More

Serikali yaombwa kusaidia familia iliyoachwa yatima

Mufindi. Baada ya vifo vya wazazi vilivyotokana na ugomvi uliohusisha wivu wa kimapenzi, familia imeiomba Serikali iwasaidie ili watoto 11 walioachwa yatima, baadhi wakiwa bado wanasoma waondokane na hali ngumu ya maisha inayowakabili. Mama wa watoto hao, Elizabeth Kihombo (46), mkazi wa Kijiji cha Ihefu, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, aliyetuhumiwa  kumuua mume wake, Philimon Lalika…

Read More

KONA YA MZAZI: Asemaye mtoto amenishinda ni mzazi mzembe

Bibi yangu aliwahi kuniambia kazi ya kumjengea mtoto maadili ni sawa na kazi ya mfinyanzi anayetengeneza vyungu bora kwa matumizi mbalimbali. Kuna wafinyanzi wanaoipa thamani kazi yao, hivyo bidhaa zao huvutia wateja. Lakini wapo pia wanaofinyanga bila uangalifu na bidhaa zao hukosa mvuto au ubora hata kwa macho yao wenyewe baada ya kuziweka sokoni. Ndivyo…

Read More

KenGold: Morrison kuvaa uzi wa Simba ni uzalendo

Uongozi wa KenGold umesema kitendo cha nyota wa timu hiyo, Bernard Morrison kuonekana akiwa na jezi ya Simba ilihali ana mkataba na timu hiyo wanalichukulia kizalendo kwa kuwa Wekundu hao waliwakilisha nchi kimataifa. Morrison aliyewahi kucheza Yanga na Simba kwa misimu tofauti, alijiunga na KenGold dirisha dogo na hadi sasa bado ana mkataba hadi mwisho…

Read More

Badru Amshukuru Dkt. Samia Mazingira Bora ya Biashara Nchini

* Wawekezaji Faida Fund juu takriban 60%! * Faida, Thamani, Ukubwa wa Mfuko Vyapaa! * Faida Kuongezeka, Mifumo Kuboreshwa! (Aishukuru Serikali, Wadau kwa Mafanikio. Na Derek Murusuri, Royal Publishers, Dar es Salaam 13 Agosti, 2024 MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wawekezaji wa Mfuko wa Faida (Faida Fund), Bw. Abdul-Razak Badru, amemshukuru Rais Dkt. Samia…

Read More

AI ikitumika maabara, wataalamu wapewa angalizo

Mwanza.  Chama cha Wataalamu wa Maabara za Afya Tanzania (MeLSAT) kimesema kimeanza kutumia teknolojia ya akili mnemba (AI) katika utekelezaji wa majukumu yake. Hata hivyo, kimesisitiza kuwa wataalamu wake hawawezi kupoteza ajira, bali wataendelea kuwa kiungo muhimu kuhakikisha huduma za afya zinatolewa kwa ufanisi. Akizungumza jijini Mwanza jana Septemba 25, 2025, katika kongamano la 38…

Read More

Okejepha aona mwanga Simba | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji mpya wa Simba, Mnigeria Augustine Okejepha amesema amefurahishwa na maandalizi ya timu hiyo yanayoendelea kambini, Ismailia Misri, huku akiweka wazi kila mchezaji kwa sasa anaonyesha anataka kukipambania kikosi hicho msimu ujao. Nyota huyo aliyejiunga na Simba akitokea Rivers United ya Nigeria, alisema licha ya ugeni wake ndani ya timu hiyo na kutozoeana na…

Read More