Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • Njombe yapiga marufuku kutoza wagonjwa gharama ya ‘ambulance’

    11 months ago
  • Waziri amtaka MNEC CCM Rukwa kuheshimu uamuzi wa Serikali kufunga Ziwa Tanganyika

    1 year ago
  • Serikali kortini kwa kiwanja alichomilikishwa hayati Sokoine

    1 year ago
  • Meridianbet Yaileta Non-Stop Win&Go Drop, Tiketi za Bure Zenye Ushindi Kila Dakika – Global Publishers

    1 month ago
  • Huku Pacome, kule Zimbwe Jr

    1 year ago
  • Kuponya majeraha ya siri ya kuzaa – maswala ya ulimwengu

    4 weeks ago
  • Habari

Aweso abaini uzembe na makusudi kwa baadhi ya watendaji DAWASA

Admin1 year ago02 mins

Waziri wa maji Jumaa Aweso amesema amebaini uzembe na hujuma ya makusudi kutokana na watendaji wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (DAWASA) kutofanya wanayopaswa pamoja na kuzoea kero na malalamiko ya Wananchi. Amebainisha hayo Julai 3, 2024 alipotembelea Tenki la Chuo cha Ardhi, wilaya ya ubungo Jijini Dar es salaam wakati akieleza…

Read More
  • Habari

Wadau wakutana kujadili ongezeko la taka za kielektroniki – DW – 07.11.2024

Admin1 year ago04 mins

Nchi za afrika ndizo zinazotajwa kuwa na mzigo mkubwa wa ongezeko la taka za kielektroniki kutokana na kutokuwa ujuzi na zana za kisasa kuzifanya taka hizo kuwa matumizi mengine mbadala. Benki ya Dunia imeonya kuhusu kitisho kinachoendelea kuikabili dunia kutonana na ongezeko hilo la kasi na kwamba madhara yake siyo tu kwamba yale ya kiumazingira…

Read More
  • Habari

Heche, Mnyika wenzake washinda shauri la kuidharau mahakama

Admin2 weeks ago02 mins

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala  Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la maombi ya kuidharau Mahakama hiyo lililokuwa linawakabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, Katibu Mkuu John Mnyika na wenzao kwa madai ya kukiuka amri yake ya kukizuia chama hicho kufanya shughuli za kisiasa na kutumia mali za chama hicho hadi…

Read More
  • 1
  • …
  • 4,838
  • 4,839
  • 4,840

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo