Kipa Dodoma aanza kujihami | Mwanaspoti

KIPA wa Dodoma Jiji Mkongomani Alain Ngeleka amesema anategemea mapokezi mazuri wakati kikosi hicho kitakapopambana na Kagera Sugar katika mchezo mkali wa kusisimua wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kesho, kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Kauli ya kipa huyo inatokana na kuwahi kuichezea timu hiyo kabla ya kujiunga na Dodoma Jiji msimu huu ambapo anaamini atapata…

Read More

Mmesikia huko? Kapera ameanza tizi Polisi Tanzania

MSHAMBULIAJI wa maafande wa Polisi Tanzania, Ramadhan Kapera ameanza mazoezi ya kujiweka fiti na kikosi hicho, baada ya kukosekana tangu msimu huu umeanza, kutokana na kusumbuliwa na jeraha la goti alilolipata kutokana na kupata ajali ya gari. Nyota huyo aliyewahi kuitumikia timu hiyo msimu wa 2020-2021, amerejea tena katika kikosi hicho msimu huu, baada ya…

Read More

Benki ya Absa Tanzania yazindua Klabu ya Matembezi na mbio fupi ikihamasisha umuhimu wa mazoezi kwa afya ya mwili na akili

Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Melvin Saprapasen (katikati) na Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa Absa Tanzania, Bi.Irene Rwegalulira (kushoto) wakizindua rasmi Klabu ya matembezi na mbio fupi ya benki hiyo itakayoshirikisha wafanyakazi wa kitengo hicho na wateja wao. Hafla hii ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Klabu hiyo itaendesha matembezi…

Read More

MBUNGE MAVUNDE PAMOJA NA TAASISI YA DODOMA LEGENDS WATEMBELEA GEREZA KUU ISANGA DODOMA

▪️Washiriki Bonanza la Michezo na Askari Magereza ▪️Watoa misaada mbalimbali kwa wafungwa ▪️Wafanya ukarabati wa Jiko lqchakula kwa Wafungwa wanawake ▪️Jeshi la Magereza lapongezwa kwa matumizi ya Nishati Safi 📍Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde, ametembelea Gereza Kuu Isanga akiambatana na wadau wa maendeleo Dodoma, maarufu kama ‘Dodoma Legends’ jana Desemba…

Read More