Ajira chanzo wanafunzi kukimbia baadhi ya kozi vyuoni

Dar es Salaam. Wakati idadi ya udahili wa wanafunzi wa mwaka wa kwanza ngazi mbalimbali vyuoni mwaka 2023/2024 ukishuka kwa asilimia 22.3 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia, madini na sayansi ya dunia, sayansi ya maisha, utalii na ukarimu zinaongoza kwa kukimbiwa na wanafunzi. Hiyo ni baada ya takwimu kuonyesha kuwapo idadi ndogo ya wanafunzi wanaochagua kusoma…

Read More

Upinzani watoa wito kuomboleza vifo vya watu 50 – DW – 20.11.2024

Katika chapisho kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Facebook, Mondlane ametaka pia kuhesabiwa upya kwa kura baada ya tume ya uchaguzi kumtangaza Daniel Chapo wa chama cha Frelimo kilichopo madarakani kwa karibu nusu karne kuwa mshindi. Rais wa Msumbiji  Filipe Nyusi anayetakiwa kuondoka madarakani mwezi Januari amelihutubia taifa siku ya Jumanne na kulaani “jaribio la kuanzisha machafuko…

Read More

Puma yaboresha upatikanaji wa nishati Singida

Dar es Salaam. Kampuni ya Puma Energy imezindua kituo cha huduma mkoani Singida, ikisema hatua hiyo inalenga kuboresha upatikanaji wa nishati, kuunda fursa za kiuchumi na kutoa huduma za kisasa kwa wananchi. Kituo hicho kipya kimeelezwa kitachangia kukuza maendeleo ya kiuchumi ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho,…

Read More

Vitendo vya ufisadi, rushwa vyatajwa kudidimiza nchi za Afrika

Arusha. Vitendo vya ufisadi na rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma katika nchi nyingi za Bara la Afrika, vinatajwa kudidimiza maendeleo katika bara hilo. Kutokana na sababu hiyo Taifa linapaswa kujenga tabia na utamaduni wa kukataa rushwa na vitendo hivyo ikiwemo kuwaibua viongozi vijana watakaolinda rasilimali. Hayo yamesemwa jana Alhamisi Agosti 14, 2025…

Read More

Zelensky adai Putin anamuogopa, ataja sababu

Kyiv. Rais, Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesema yupo tayari kuonana na kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Rais, Vladimir Putin wa Russia. Zelensky ametoa kauli hiyo leo Jumatano Mei 14, 2025, huku akimkejeli Rais Putin kuwa anaogopa kuonana naye hususan kwenye mkutano uliopangwa kufanyika Alhamisi wiki hii. Hata hivyo, Russia bado haijathibitisha iwapo Rais…

Read More

Rais Samia atoa neno ushirikishwaji sekta binafsi bandarini, mapato yakiongezeka

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ushirikishwaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari na miundombinu mingine umechangia mafanikio makubwa nchini, ikiwemo ongezeko la mapato. Amesema kati ya Julai hadi Februari mwaka 2024/25, mapato ya bandari na ushuru wa forodha yamefikia Sh8.26 trilioni, ikilinganishwa na Sh7.08 trilioni mwaka 2023/24. Aidha, gharama za uendeshaji wa Bandari…

Read More

Saido atoa masharti ya kutua KenGold

WAKATI mabosi wa KenGold wakipigia hesabu za kumsainisha aliyekuwa kiungo wa Yanga na Simba, Mrundi Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’, nyota huyo ameweka masharti mapya kwa viongozi wa timu hiyo ya jijini Mbeya ili akaitumikie kwa miezi sita. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti ‘Saido’ anahitaji pesa ya usajili Sh50 milioni na mshahara wa Sh12…

Read More