Rais Samia kukabidhi tuzo ‘Samia Kalamu Awards’

Dar es Salaam. Tuzo 31 zinatarajiwa kukabidhiwa kwa waandishi wa habari katika fainali ya Tuzo za ‘Samia Kalamu Awards’, zitakazotolewa Mei 5, 2025 jijini Dar es Salaam. Katika tuzo hizo zitakazozotelewa na Rais Samia Suluhu Hassan, kutakuwa na tuzo za chombo cha habari, mwandishi mwenye mafanikio, mwandishi mahiri ofisa habari bora na habari kuhusu nishati…

Read More

Vigogo EAC, SADC wakutana kujadili amani DR Congo

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliyofanyika kwa njia ya mtandao leo Jumatano, Agosti 13, 2025 ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania…

Read More

Rais Mwinyi ataja mafanikio ya ziara yake Indonesia

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amerejea nchini Tanzania akitokea Indonesia huku akitaja maeneo wanayotaka kupata wawekezaji pamoja na biashara zinazoweza kufanywa kati ya mataifa hayo mawili. Maeneo waliyoyalenga kwa uwekezaji Zanzibar ni utalii, mafuta na gesi, bandari, uvuvi, mwani, karafuu na usafirishaji baharini.  Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutua Uwanja wa…

Read More

Profesa Mkenda asisitiza madarasa mawili kwenda kwa mkupuo sekondari 2028

Dar es Salaam. Wakati wadau wa elimu wakionesha wasiwasi kuhusu maandalizi ya madarasa mawili yatakayohitimu elimu ya msingi mwaka 2027 na kutakiwa kujiunga na sekondari mwaka 2028, Serikali kupitia Wizara ya Elimu imeeleza kuwa inaendelea kuweka mikakati mbalimbali kuhakikisha hilo linafanyika kwa ufanisi. Kufuatia utekelezaji wa sera mpya ya elimu, elimu msingi sasa itakuwa miaka…

Read More

Opah anaendeleza uthubutu kwa wanawake

BAADA ya kutumikia timu ya wanawake ya FC Juarez kwa msimu mmoja, juzi nahodha wetu wa Twiga Stars, Opah Clement alijiunga rasmi na SD Eibar ya Hispania. Ni uhamisho ambao hapa kijiweni umetufurahisha sana kwa vile kwanza anaenda katika nchi ya kisoka hasa ambayo ina moja kati ya ligi bora za soka za wanawake. Baadhi…

Read More

TBS YAIPONGEZWA KWA KULINDA UBORA NA AFYA ZA WALAJI, YATAKIWA KUONGEZA NGUVU ZA USIMAMIZI

Farida Mangube, Morogoro Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, ameipongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kazi kubwa inayofanya katika kulinda ubora wa bidhaa na afya za walaji nchini, huku akilitaka shirika hilo kuongeza juhudi zaidi katika kusimamia ubora wa bidhaa zinazozalishwa na kuingia sokoni. Dkt. Mussa ametoa pongezi hizo alipotembelea…

Read More