Mahakama yatupa ombi la wosia mjane wa Mengi 

Arusha/Dar. Mahakama ya Rufani imetupilia mbali shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa na mjane wa Reginald Mengi, Jacquiline Ntuyabaliwe na wanawe wawili, ambao wamekuwa wakipambana kutetea wosia unaodaiwa kuandikwa na Mengi ambao Mahakama Kuu iliubatilisha. Katika shauri hilo, Jacquiline na wanawe anaowasimamia, Jayden Kihoza Mengi na Ryan Saashisha Mengi walikuwa wanaiomba mahakama irejee na hatimaye…

Read More

Straika Azam anukia Kagera Sugar

Kagera Sugar ipo katika hatua za mwisho kumchukua mshambuliaji wa Azam FC, Adam Adam kwa mkopo. Kagera kwa sasa ipo katika mikakati ya kuongezea nguvu kikosi chake kutokana na ripoti ya Kocha Melis Medo iliyotoka hivi karibu. Awali Mwanaspoti iliripoti benchi la ufundi la timu hiyo linataka kusajili mashine nne mpya dirisha dogo lililofunguliwa Jumapili…

Read More

Mahakama yafanya uamuzi kesi Dabi ya Kariakoo

SAKATA la mchezo wa Dabi ya Kariakoo ambalo Yanga imeapa kuwa haitapeleka timu uwanjani Juni 15, mwaka huu, limechukua sura mpya baada ya kuwasilishwa mahakamani na mmoja wa wanachama wa Yanga, ambako hata hivyo chombo hicho cha kutafsiri sheria kimetoa uamuzi rasmi leo, Ijumaa, Juni 6, 2025.  Mchezo huo wa Yanga dhidi ya Simba ambao…

Read More

Geay aula Berlin Marathon 2025

MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay ni miongoni mwa mastaa 13 ambao wamepewa mwaliko wa kushiriki mbio za Berlin Marathon 2025, Ujerumani. Mbio hizo zitafanyika Septemba 21 na Geay anayeshikilia rekodi ya taifa ya mbio ndefu kwa muda wa saa 2:03:00 aliyoiweka katika Valencia Marathon miaka mitatu iliyopita atashiriki kwa mara ya kwanza….

Read More

‘Watoto wa mitaani’ wafunguka wanavyotumikishwa kingono

Arusha. Watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani wamefichua jinsi jamii inavyowatumikisha kingono na kihalifu, hasa kwenye dawa ya kulevya bila kujali umri wao. Wamesema jamii inayowazunguka imekuwa ikiwachukulia kama wahalifu au vyombo vya starehe na kutimiza haja zao, hivyo wameiomba Serikali kuwaokoa na janga hilo. Watoto wamesema hayo leo Juni 17, 2024 jijini Arusha kwenye…

Read More

HELLO MR.RIGHT MSIMU WA 06 WAZINDULIWA RASMI

ONESHO la Hello Mr Rights kuja na mpango wake baada ya miaka 10 ijayo ya onesho hilo wanatamani kuunganisha vijana wengi wanaotaka wenza na ikiwezekana kuweka historia mpya ya kuwafungisha ndoa za pamoja. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa onesho hilo msimu wa sita, Mkurugenzi wa Masoko na Maudhui wa Startimes…

Read More