Kocha Uhamiaji afichua siri Ligi Kuu Zanzibar

KOCHA Mkuu wa Uhamiaji, Abdul Saleh Mohammed, amesema timu hiyo imefanya mabadiliko makubwa msimu huu wa 2025-2026 na ndio siri ya kupata matokeo mazuri katika mechi zinazoendelea za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL). Licha ya kumaliza nafasi ya sita msimu uliopita, timu hiyo haikuwa bora sana kama inavyoonekana kipindi hiki kwa kucheza soka la kuvutia zaidi…

Read More

VIDEO: Kibano kwa wahubiri wa miujiza, fedha

Dar es Salaam. Serikali imevunja ukimya kuhusu uwepo wa viongozi wa dini nchini wasiozingatia misingi ya sheria na maandiko ya vitabu vitakatifu, badala yake wanawatumia waumini kama mtaji wa kujilimbikizia mali, huku wakiwapa mafundisho yasiyofaa. Kutokana na hayo, Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameitaka Wizara ya Mambo ya Ndani kupitia Ofisi ya Msajili wa…

Read More

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kutumbukia kisimani

Tabora. Mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Isenegeja iliyopo kata ya Mwisi, Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, William Emmanuel (12), amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima alipokuwa akichota maji. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatatu Oktoba 20, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema mtoto huyo akiwa na wenzake…

Read More

Kiungo ghali aleta balaa Simba, Yanga

HADI kufikia Ijumaa usiku, taarifa zilibainisha Simba ilikuwa kwenye mazingira mazuri ya kummiliki kiungo Balla Moussa Conté kutoka CS Sfaxien ya Tunisia baada ya kufikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miaka miwili, lakini ghafla, Jumamosi asubuhi likaibuka jambo jipya. Kilichotokea ni Yanga imeingilia kati mazima na inabainishwa imemaliza dili moja kwa moja kwa kumpa mkataba…

Read More

RUNGU LA DC SAME KUWASHUKIA WAZAZI WANAOTUMIA KESI ZA UKATILI WA KIJINSIA KWA WATOTO KAMA MTAJI KULIPANA FEDHA.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewaonya baadhi ya wazazi wanaotumia kesi za ukatili wa kijinsia kwa watoto kama mtaji kulipana fedha pindi anapofanyiwa ukatili. Amewataka kuacha mara moja tabia hiyo kwani kufanya hivyo kunapelekea kuathiri saikolojia na afya ya mtoto pamoja na kumfanya ashindwe kutimiza ndoto zake….

Read More