Mwanamama mdau wa Usafiri wa Anga Tanzania Atambuliwa Katika Mkutano wa 42 wa ICAO

  Sekta ya anga ya Tanzania imepata kutambulika kimataifa wiki hii wakati Bi. Rosemary Kacungira, Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Equity Aviation, alipoheshimiwa katika Mkutano wa 42 wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) unaoendelea Montreal, Canada. Bi. Kacungira alionyeshwa katika heshima maalumu ikionesha mafanikio yake wakati wa Kikao cha Ufunguzi cha Mkutano,…

Read More

Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons

KOCHA mpya wa maafande wa TZ Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ amesema malengo makubwa aliyonayo kwa timu hiyo ni kuhakikisha timu hiyo inajinasua na janga la kushuka daraja, licha ya ushindani mkubwa uliopo msimu huu katika mechi za Ligi Kuu Bara. Nsajigwa aliyeachana na Transit Camp inayoshiriki Ligi ya Championship msimu huu, alitambulishwa rasmi kukiongoza kikosi…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA KUTOA RUZUKU PEMBEJEO ZA KILIMO,KUKAMILISHA MIRADI

*Azungumzia kuhusu kutatua changamoto ya uhaba wa maji, agusia miundombinu ya barabara Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi Serikali katika miaka mitano ijayo itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo za kilimo ikiwemo mbolea ya ruzuku sambamba na kutafuta masoko ya mazao ili wakulima wanufaike na jasho lao….

Read More

Bandari ya Dar itakavyokabili ongezeko la mizigo mwisho wa mwaka

Dar es Salaam. Kadri msimu wa kilele cha usafirishaji wa mwisho wa mwaka unavyokaribia, wadau wa bandari wanaongeza kasi ya maandalizi kushughulikia kile kinachotarajiwa kwenye msimu wenye shughuli nyingi za mizigo bandarini. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kwa kushirikiana na waendeshaji binafsi, imetangaza hatua kadhaa za kimkakati zinazolenga kuongeza ufanisi, kupunguza muda wa…

Read More

Wasira: Waliompinga Samia walikuwa na hofu ya mabadiliko, masilahi yao

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema wingi wa watu waliojitokeza katika uwanja huo unadhihirisha kuwa CCM ina uwezekano wa kuendelea kukamata dola.  “Sasa nawauliza wanaotaka dola kutoka kwetu wataipata? Wataweza? Wataweza kweli… lakini hatuwezi kuongelea wenyewe lazima tupate watu wa kutusindikiza, kwa hiyo tunawakaribisha wasindikizaji wetu lakini tunawaambia tumejiandaa…

Read More

Vyakula vinavyoondoa mafuta mwilini | Mwananchi

Katika ulimwengu wa leo ambako uzito kupita kiasi na unene ni changamoto kubwa kwa watu wa rika mbalimbali, wengi wamegeukia njia za haraka za kupunguza mafuta mwilini kama vile dawa za kupunguza uzito, mazoezi ya ghafla au hata upasuaji. Hata hivyo, ukweli ni kwamba mojawapo ya njia bora, salama na ya kudumu ya kupunguza mafuta…

Read More