Watu wa Sudan waliteswa na kuuawa katika ‘nyumba za kuchinjia’, uchunguzi wa haki unasema – maswala ya ulimwengu

Muda kidogo baada ya kuwasilisha ripoti iliyoamriwa kwa Baraza la Haki za Binadamu Huko Geneva Jumanne, Mwenyekiti wa Ujumbe wa Kutafuta Ukweli juu ya Sudan, Mohamed Chande Othman, alisisitiza kwamba Wanajeshi wote wa Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) walikuwa wamefanya uhalifu wa ukatili. Kati ya ushuhuda uliokusanywa kwa ripoti…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More

Machumu: Ukuaji MCL utategemea misingi yake kuendelezwa

Dar es Salaam. Ukiihesabu miaka minne kwa umri wa binadamu, basi ni mtoto anayemudu kutembea, anakimbia na sasa anatamka karibu kila neno. Hicho ndicho kipindi ambacho Bakari Machumu amehudumu nafasi ya mkurugenzi mtendaji katika miaka yake 20 aliyofanya kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL). Machumu amekuwa kwenye nafasi hiyo ya juu tangu Aprili…

Read More

Mtaalamu afya ya akili ashauri mambo tisa janga la Kariakoo

Dar es Salaam. Wakati kesho Jumatano, Novemba 20, 2024 kampeni za uchaguzi wa Serikali za mitaa zinaanza, Chama cha ACT Wazalendo kimeweka hadharani safu yake ya viongozi watakaofanya kampeni nchi nzima. Kampeni hizo zitakazohitimishwa Novemba 26, 2024, mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Juma Duni Haji amekabidhiwa Mkoa wa Dar es Salaam na atafanya mikutano 28….

Read More