Majaliwa azindua kampeni za ubunge Nachingwea

Dar es Salaam. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua kampeni za ubunge Nachingwea, akitoa wito kwa wananchi kuchagua wagombea wote wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza kwenye kampeni zilizofanyika uwanja wa maegesho ya malori Nachingwea mjini, leo Septemba 12, 2025…

Read More

RC KUNENGE AAGIZA BODABODA KUPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI MKOA MZIMA

Mwamvua Mwinyi, Kisarawe Disemba 2,2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameagiza mafunzo ya kuwajengea weledi maofisa usafirishaji (bodaboda) kuhusu usalama barabarani na sheria za usafirishaji kutolewa katika mkoa mzima.  Aidha, amezitaka mamlaka husika, ikiwemo Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kuhakikisha wahitimu wanapatiwa leseni mara  baada ya kukamilika kwa mafunzo…

Read More

Aweso awahakikishia upatikanaji wa maji Dar na Pwani

  WAZIRI wa Maji Juma Aweso amewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam na Pwani upatikanaji wa maji safi na salama katika mikoa hiyo kwani Changamoto ya hitilafu ya mtambo wa kuzalisha maji wa Ruvu juu tayari imerekebishwa. Waziri Aweso ameyasema haya leo tarehe 28 Oktoba 2024 katika ziara ya kukagua na kutembelea mtambo wa kuzalisha…

Read More

Miaka 25 ya Vodacom: Kuadhimisha Uunganishwaji Kidijital

Katika kuadhimisha robo karne ya uwepo wake nchini na mafanikio makubwa tangu kuanzishwa kwake, Vodacom Tanzania PLC imeanzisha kampeni kabambe ya nchi nzima ijulikanayo kama “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii, itakayodumu kwa miezi minne, inalenga kuwakumbusha Watanzania jinsi Vodacom ilivyokuwa nao bega kwa bega katika kila hatua ya maisha yao. Kuanzia enzi za…

Read More

WATUMISHI WANAWAKE WA TEA WAJITOA KWA JAMII

Watumishi wanawake wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) @officiatea Leo tarehe 7 Machi 2025 wametembelea Kituo cha Kulea Watoto Miuji Nyumba ya Matumaini Jijini Dodoma kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani ambayo kilele chake huadhimishwa Machi 8 kila mwaka. Katika ziara hiyo, wametoa msaada wa bidhaa mbalimbali, ikiwemo chakula vikiwa…

Read More

Umuhimu wa Kuchagua Huduma za Usalama wa Moto

Moto ni moja ya majanga hatari yanayoweza kutokea bila tahadhari, na madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa maisha ya watu, mali, na miundombinu. Kila mwaka, moto husababisha vifo, ulemavu, na uharibifu mkubwa wa mali, hivyo ni muhimu kuchukua hatua za tahadhari ili kuzuia na kupambana na matukio haya. Huduma za usalama wa moto ni suluhisho…

Read More

BENKI YA NCBA YAZINDUA MSIMU WA PILI MASHINDANO YA GOFU

BENKI ya NCBA Tanzania imezindua rasmi msimu wa pili wa mashindano ya gofu ya NCBA. Mashindano haya yatafanyika kwenye uwanja wa gofu wa Gymkhana, Arusha. Akizungumza Wakati wa Mashindano hayo Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Damas Ndumbaro ambaye alihudhuria tukio hilo kama mgeni rasmi, na pia alishiriki katika mchezo wa gofu, aliongelea ushirikiano wake…

Read More

Elimu si uvumbuzi, bali uvumbuzi ni elimu

Leo namkumbuka mwamba wa kuitwa Abunuwasi. Kwa taarifa tulizonazo jamaa alikimbia umande, lakini alikuwa na akili zaidi ya mchwa. Alichemsha vichwa vya wanazuoni na wanasheria kwa mawazo yake mapya wakati wa mijadala na hukumu za mashauri mbalimbali. Katika moja ya vituko vyake, alitumia hesabu ndefu katika mchanganuo wa kutekeleza hukumu dhidi ya baba mkwe wake,…

Read More