PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 27,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 27,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO NOVEMBA 27,2024 About the author
Maafisa walio na karibu na mazungumzo hayo wanasema Israel inataka kuendeza uwepo wa kijeshi katika njia nyembamba kwenye mpaka kati ya Gaza na Misri ambayo inauita ukanda wa Philadelphia, pamoja na eneo ililoliunda linaloitenganisha Gaza Kaskazini na Kusini.Je, maeneo hayo yana umuhimu gani kwa Israel? Haijabainika wazi iwapo udhibiti wa Israel wa njia hizi umejumlishwa…
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameitaka Wizara ya Afya kuwa na mipango endelevu kuwapata wahudumu wa afya ngazi ya jamii (CHWs) akisema kutachochea mabadiliko chanya ya utoaji wa huduma. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Juni 30, 2025 wakati wa mahafali ya kwanza ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii yaliyofanyika katika…
Shirika la Tanzania Health Promotion Support (THPS), kupitia Mradi wa Afya Hatua unaofadhiliwa na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kukabiliana na UKIMWI, kupitia Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (U.S. CDC), leo wamekabidhi samani mbalimbali za hospitali ili kuwezesha ufanisi katika utoaji wa huduma kamili za kinga, matunzo na matibabu…
Mwisho wa mwaka umekaribia na shule zinatarajiwa kufungwa kwa mapumziko ya likizo ya mwaka. Ingawa likizo ni wakati wa kupumzika, ni muhimu kuwa na ratiba inayojumuisha masomo, mazoezi, shughuli za kijamii, na muda wa kupumzika, ili kuhakikisha watoto wanakuwa na maendeleo bora katika nyanja zote za maisha. Hapa nitaangazia baadhi ya mambo ambayo mzazi makini…
*Asema waliwekeza katika kufanya maandamano, migogoro inawatafuna Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amoss Makalla amesema CHADEMA waache kulalama kuwa wagombea wake walienguliwa kwani ukweli uliopo Chama hakikuwa kimejiandaa na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajia kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Akizungumza leo…
Mkuu wa Idara ya Ushauri wa Kilimo Benki ya NMB Isaack Masusu (mwenye kofia) akifafanua jambo mbele ya Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Alexander Mnyeti anayesikiliza wa kwanza kulia kwenye maonesho ya wakulima wa kisasa yanayoendelea Ubena Zomozi Halmashauri ya Chalinze Mkoani Pwani. Na Khadija Kalili, Michuzi Blog SHILINGI Tilioni 1.61 zimetolewa…
Mhe. Raila Amolo Odinga, Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Kenya anayewania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Kampeni , Ikulu ya Nairobi, tarehe 27 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na…
Mkoa wa Rukwa umeendelea kujikita kuwa kitovu kipya cha uchimbaji wa madini ya emerald nchini, huku Serikali na wadau wa sekta hiyo wakihimiza vijana kuchangamkia fursa zinazopatikana katika maeneo mbalimbali ya uchimbaji. Akizungumza mara baada ya kutembelea eneo la Mponda lililopo Wilaya ya Sumbawanga, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Rukwa, Mhandisi Joseph Kumburu, amesema…
LICHA ya kutopata ushindi kwenye mechi tano na kufunga mabao mawili pekee, Nahodha wa Pamba Jiji, Christopher Oruchumu amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo akisisitiza ni kipindi cha mpito na kwamba itaanza kufanya vizuri kuanzia mchezo ujao dhidi ya Azam FC. Mechi tano za Pamba Jiji tangu Agosti, mwaka huu, chini ya Kocha Goran Kopunovic…