Kibwana afafanua ishu ya kiungo Yanga

BAADA ya kuwapo kwa taarifa za kiungo mshambuliaji wa Yanga Princess, Aregash Kalsa kuachwa na timu hiyo, mratibu wa kikosi hicho Kibwana Matokeo amesema nyota huyo bado yupo Jangwani. Kumekuwapo na taarifa mitandaoni zinazodai kwamba mchezaji huyo anayetumia mguu wa kushoto amejiunga na RS Berkane ya Ligi Kuu ya Wanawake Morocco. Kalsa alijiunga na Yanga…

Read More

KIKWETE AHITIMISHA KAMPENI ZA CCM MAJIMBO MATANO YA UNGUJA, ASEMA CCM NI CHAMA CHA KUTENDA NA SIO CHA MANENO MANENO

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amesema CCM si chama cha maneno maneno bali ni chama cha vitendo, akisisitiza kuwa chama hicho kitaendelea kutekeleza ahadi zake kwa wananchi kwa vitendo. Dkt. Kikwete alitoa kauli hiyo jana jioni katika…

Read More

WITO KWA VIJANA KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUJUA AFYA ZAO NA KUISHI KWA TAHADHARI DHIDI YA MAAMBUKIZI YA VVU

Na.MWANDISHI WETU – RUVUMA Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, na Uratibu Mheshimiwa Ummy Nderiananga ametoa wito kwa vijana nchini kuchukua hatua madhubuti katika kujua hali zao za maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU). Ametoa wito huo tarehe 30 Novemba, 2024, wakati akihitimisha wiki ya vijana katika uwanja wa Majimaji…

Read More

Morocco yafuzu Kombe la Dunia, Stars yabakiza mbili

Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Taifa barani Afrika kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 nyumbani dhidi ya Niger jana, Septemba 5, 2025 huku Taifa Stars ikibakiza mechi mbili. Ushindi huo ambao Morocco imeupata katika Uwanja wa Prince Moulay Abdallah jijini Rabat, umeifanya ifikishe pointi 18…

Read More

Walimu 12,000 kuajiriwa mwaka huu wa fedha

Dodoma. Wakati Tanzania ikiwa na upungufu wa walimu 271,025 kuanzia ngazi ya awali, msingi hadi sekondari kwa mujibu wa Tamisemi, Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2023/24 itaajiri  walimu 12,000 ambao watapangiwa vituo vya kazi katika maeneo yenye upungufu. Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi),…

Read More

BASHUNGWA AMKABIDHI DKT. MSONDE TAASISI YA TEMESA NA TBA, ATAKA MAGEUZI NDANI YA MIEZI MITATU.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuelekeza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Charles Msonde kuhakikisha anazisimamia Taasisi za Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kufanya mabadiliko na kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazokabili Taasisi hizo ili kuboresha utendaji na ufanisi wa Taasisi hizo. “Namjua Dkt. Msonde nimefanya nae kazi…

Read More

Vifukuza mbu hivi ni salama?

Leo ni siku ya kimataifa ya Malaria Duniani, chini ya mwavuli wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Siku hii huadhimishwa Aprili 25 ya kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu 2025 inasema “Tuimalize Malaria; Wazia tena, Wekeza tena, Anzisha tena”. Takwimu za WHO zinaonyesha kuwa kila baada ya dakika moja, kifo kimoja hutokea duniani kwasababu ya…

Read More

Sativa aruhusiwa hospitali | Mwananchi

Dar es Salaam. Edger Mwakabela aliyetekwa na watu wasiojulikana na kutupwa kwenye pori la Hifadhi ya Katavi akiwa na majeraha mwilini, ameruhusiwa kutoka hospitali. Ruhusa hiyo ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa taya la kushoto Julai 3,2024, lililosagika kwa kudaiwa kupigwa risasi na watekaji ambao walilenga kumpiga risasi ya kichwa. Mwakabela maarufu Sativa kupitia mtandao wa…

Read More