Aliyeuawa kwa risasi na polisi azikwa

Dodoma. Mwili wa Frank Sanga (34) aliyefariki dunia kwa kupigwa na risasi umezikwa leo huku wachungaji wa Kanisa la Anglikana wakitaka Serikali isimamie mambo hayo yasijirudie kwa sababu yanaiumiza jamii. Mbali na vilio vilivyotanda nyumbani hadi kanisani, baadhi ya ndugu walipoteza fahamu baada ya kuona mwili wa ndugu yao. Mjane wa Frank Sanga aliyeuawa kwa…

Read More

RC Mtambi aagiza wenye ulemavu watambuliwe, wapewe mikopo

Rorya. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri za mkoa huo kuwatambua na kuwezesha uanzishwaji wa vikundi vya watu wenye ulemavu katika wilaya zao. Pia amewataka kusimamia usajili wa vikundi hivyo, ili viwezeshwe kiuchumi. Mtambi ametoa maagizo hayo leo Jumatatu, Juni 23, 2024, alipofunga mafunzo ya ujasiriamali…

Read More

Zimbwe amuibua Aziz Ki, amtabiria makubwa Yanga

WAKATI mwenyewe akifurahia maisha mapya Jangwani, beki Mohammed Hussein Zimbwe ‘Tshabalala’ amemuibua kiungo wa Wydad Casablanca ya Morocco, Stephanie Aziz aliyekiri kumkubali mwamba huyo wa zamani wa Kagera Sugar na Simba. Tshabalala na Aziz KI walikuwa wakipambana uwanjani kwa misimu zaidi ya mitano kuanzia kiungo huyo akiwa ASEC Mimosas ya Ivory Coast kisha Yanga  kipindi…

Read More

Mpango wa lishe mawaziri, makatibu wakuu Zanzibar kubanwa

Unguja. Wakati ukizinduliwa mpango mkakati wa kisekta wa lishe Zanzibar wa miaka mitano, Makamu wa Pili wa Rais, Hemed Suleiman Abdulla amezitaka wizara na taasisi zinazohusika kujipanga kuutekeleza, iwapo wakishindwa wajihesabu hawana kazi. Hemed amesema licha ya mafanikio na jitihada kubwa zinazochukuliwa, bado kuna kiwango kikubwa cha matatizo ya lishe duni. Mpango mkakati huo wa…

Read More

Simba yatinga 32-Bora na rekodi mbili

SIMBA imeanza michuano ya Kombe la Shirikisho kibabe kwa kuifumua Kilimanjaro Wonders kwa mabao 6-0, huku ikiandika rekodi mbili katika hatua ya 64 Bora kwenye Uwanja wa KMC Complex, jijini Dar es Salaam. Rekodi ya kwanza iliyowekwa na timu hiyo ni kufunga bao la mapema likiwekwa sekunde 18 baada ya filimbi ya kwanza ya kuanzisha…

Read More

Vijiji 25 kunufaika biashara ya kaboni Arusha

Arusha. Wananchi katika vijiji 16 vilivyopo Wilaya ya Longido na Monduli (9) mkoani Arusha wanatarajiwa kupata Sh33 bilioni kila mwaka kupitia utekelezaji wa mradi wa uvunaji kaboni. Mradi huo unahusisha kudumisha hatua za uhifadhi wa hekta milioni 2.4 utazalisha tani milioni 1.9 za hewa ya Kaboni zenye thamani ya Dola za Marekani 12.7 milioni, sawa…

Read More