NAIBU WAZIRI WA AFYA AAGIZA KUONGEZEWA KWA RASILIMALI KATIKA MPAKA WA TUNDUMA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ametoa agizo kwa uongozi wa mkoa wa Songwe kuongeza nguvu katika rasilimali watu na vifaa kwa ajili ya kuimarisha udhibiti wa magonjwa ya mlipuko, ikiwa ni pamoja na ugonjwa wa Mpox. Katika ziara yake ya kikazi kwenye forodha ya mpaka wa Tunduma mnamo Agosti 22, 2024, Dkt. Mollel…

Read More

Swissport Tanzania yatangaza faida ya Sh8.6 bilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za usafiri wa anga nchini Tanzania, Swissport Tanzania PLC, imetangaza kupata faida kabla ya kodi ya Sh8.6 bilioni kwa mwaka wa fedha uliomalizika Desemba 31, 2024. Hayo yamebainishwa na Kaimu Ofisa Mtendaji Muu wa Swissport Tanzania PLC, Shamba Mlanga  katika Mkutano Mkuu wa 40 wa mwaka wa wanahisa uliofanyika…

Read More

Mambo matano yanayoharibu ubongo wa mtoto

Dar es Salaam. Afya bora kwa mtoto inachangiwa na mambo mengi, ikiwamo chakula bora, usafi wa mwili na mazingira anayoishi. Vyote hivyo ni msingi mzuri wa hatua ya makuzi ya mtoto. Hata hivyo, kuna makosa ambayo baadhi ya wazazi au walezi huchangia kwa kiwango kikubwa kuyumbisha hatua za ukuaji wa mtoto. Makosa hayo mzazi huyafanya…

Read More

VIDEO: Polisi Moshi wadaiwa kuua mtuhumiwa kwa kipigo

Moshi. Kilio cha washukiwa wa uhalifu kufariki mikononi mwa polisi, kinazidi kulitikisa Jeshi la Polisi, baada ya kutokea tukio mkoani Kilimanjaro, kwa mkazi wa Kijiji cha Mvuleni Newland, Wilaya ya Moshi, Joseph Zakayo, kudaiwa kuuawa kwa kipigo. Taarifa kutoka kwa baadhi ya ndugu na kutoka ndani ya Jeshi la Polisi, zinadai kuwa mtuhumiwa huyo wa…

Read More