BILIONI 15 KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI 105 VYA MKOA WA SIMIYU

-Wateja 3,465 wataunganishwiwa huduma ya umeme Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA); tarehe 24 Oktoba 2024 imemtambulisha rasmi mkandarasi; kampuni ya CCC (Beijing) Industrial & Commercial Ltd; kampuni kutoka China, itakayotekeleza Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa wa Simiyu; Mradi utakaotekelezwa katika kipindi cha miaka miwili, kuanzia…

Read More

Padri Nkwera kuzikwa kituo chake cha maombezi Ubungo Mei 18

Dar es Salaam. Mwili wa Padri Felician Nkwera unatarajiwa kuzikwa Jumamosi Mei 18, 2025 katika kituo chake cha Maombezi kilichopo Ubungo jijini Dar es Salaam. Hayo yamesemwa jana Jumamosi Mei 10, 2025 na mwenyekiti wa huduma za maombezi wa kituo hicho, Deogratias Karulama alipozungumza na Mwananchi kuhusu ratiba za mazishi hayo. Padri Nkwera alifariki dunia…

Read More

Barka atwaa tuzo  ya Ballon d’Or

KATIKA usiku uliojaa shamrashamra na vionjo vya burudani, Mtanzania Barka Seif Mpanda, ameandika historia baada ya kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ya Ballon d’Or of the Champions Dream, huko Hispania. Tuzo hiyo ilitolewa jana usiku jijini Barcelona, na kuashiria mafanikio makubwa kwa nyota huyo wa klabu ya CF Damm ya Hispania. Barka Seif,…

Read More